everlenk
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 11,628
- 15,032
Ohhhh!! Jamani bado katoto ndo kwanza siku 10,happy birthday to you,kwaajili yangu tukate keki leo.Ilikua tarehe 5 sawa na Tony Martial.
Ohhhh!! Jamani bado katoto ndo kwanza siku 10,happy birthday to you,kwaajili yangu tukate keki leo.Ilikua tarehe 5 sawa na Tony Martial.
Ohhhh!! Jamani bado katoto ndo kwanza siku 10,happy birthday to you,kwaajili yangu tukate keki leo.![]()
![]()
amen my dear.Happy birthday
Live long
Sweetheart?!Happy birthday sweetheart!
Tatizo ni moja tu. Wewe Chelsea.kuna tatizo na hilo mkuu!??
Tupo pamoja nishatupia nyingi tu.Kwa mashabiki wote wa soka tumekutana hapa JF tukibadilishana habari mbalimbali tunapongezana na kutaniana kuhusu timu tunazoshabikia ,now mmoja ya waasisi wa kijiwe chetu ambacho tunakutana hapa anashikiliwa na polisi.Tujitokeze kupaza sauti zetu kulaani huu unyanyasaji anaofanyiwa tusikae kimya kwenye hili tuendelee kupaza sauti kwenye mitandao yote ya kijamii(Facebook,Twitter,Instagram nk ) kulaani unyanyasaji huu.Tutumie hashtag [HASHTAG]#FreeMaxenceMelo[/HASHTAG]
Kuja hapa malkia, kwani bado una stress? Nyakati za ushindi ni sasa viva Man U, nyumba ya pili namsikia pepe guardiola amekili yeye na club yake Man City wapo kwenye kipindi kigumu,Tupo pamoja nishatupia nyingi tu.
Tatizo ni moja tu. Wewe Chelsea.

Polee we mama but here he is n hongereni kwa ushindi![]()
![]()
wewe mchoyoooo safiiiii,basi mimi ntakwambia uniandalie special event
![]()
![]()
,lakini bado katotooo haya chukua zawadi hii happy birthday to u hata kama nimechelewa.
![]()
Rojo anazingua na rafu zake za kitoto!