Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

2f9ee55406ee4e45c66366e1c7c1b317.jpg


Wooooooooohhhhhh!!! Happy birthday to you mumy, nakumbuka tumepishana siku mbili tuuuuuuuuuu......hahhahah dada!!! .....live long mumy na huu ushindi ni zawadi toshaaaa.
asante my dada..............yani asubuhi nachek matokeo nikajisemea tu happy birthday to me yani kama walijua hivi kushinda ili furaha yangu iwe maradufu.
 
I can watch us playing nowadays... Tofauti na enzi zile za Moyes, LVG! we are getting better day after day, were are moving forward, creating chances.. Well, although we haven't been lucky lately but you can see the progress! I believe in Mourinho... Nimewahi kuwaambia wale washabiki wenzangu wanaomkosoa na kumdhihaki Mou watafute mechi zetu tukiwa chini ya Moyes au LVG waangalie utofauti.. tena tafuta zile za LVG ambazo tumeshida then karudie tena zile mechi tulizotoa draw na arsenal, burnley, everton! there is a big difference
kiukweli kuna tofauti......na najua tutafika tunapotaka ni swala la muda tu.
 
wakuu habari

kwa mara ya kwanza msimu huu tangu uanze nimefurahishwa na morali ya wachezaji kutafuta ushindi

zaidi ya yote, nimefurahishwa na jinsi Mourinho alivyowapongeza wachezaji kwa kuingia ndani ya uwanja baada ya mechi

hicho ni kitu kizuri sana kwani kinawapa wachezaji morali zaid kwa mechi ijayo na kujisikia hali ya kuthaminiwa

[HASHTAG]#GGMU[/HASHTAG]
 
I can watch us playing nowadays... Tofauti na enzi zile za Moyes, LVG! we are getting better day after day, were are moving forward, creating chances.. Well, although we haven&[HASHTAG]#039[/HASHTAG];t been lucky lately but you can see the progress! I believe in Mourinho... Nimewahi kuwaambia wale washabiki wenzangu wanaomkosoa na kumdhihaki Mou watafute mechi zetu tukiwa chini ya Moyes au LVG waangalie utofauti.. tena tafuta zile za LVG ambazo tumeshida then karudie tena zile mechi tulizotoa draw na arsenal, burnley, everton! there is a big difference
Kweli kabisa kuna mabadiliko yanaonekana, hata ile fear factor inarudi.....
 
Back
Top Bottom