Guasa Ambonii
JF-Expert Member
- Aug 13, 2015
- 8,545
- 10,296
Huyu ndugu tulikubaliana panapo majaliwa tuonane leo ila cha ajabu hajatokea na muda unakwenda.Eeh halafu nilitaka kusahau everlenk (first lady )na sister angalieni kipimo chenu leo hatutakuwa na wageni wengi pia kutupa chakula si jambo jema wengi wana kitafutaJumapili hamtoki aisee... Msijipe moyo!!! Game ya leo mmeshinda ila mmecheza vibaya mno
.
.
.
Ingekuwa ni dhidi ya Klabu ya EPL tungezengumza mengine.