FELLAIN KAPANGWA TENA
Nimeona mata amekasirika hara benchi hakukaa huyu mourinho anamdhalilisha sana mata inauma aisee
Hahahahah watu wanacheza fyongo hatari sijui hali ya hewa aisee spurs lazma tukaze wasije wakatuadhiri kwa mpira huuLEO KWERI TUMEONA MWEZI
Jumapili hamtoki aisee... Msijipe moyo!!! Game ya leo mmeshinda ila mmecheza vibaya mnoHongera kwa vijana na mashabiki wote tusubiri j pili.
Uliuona awanja ulivokua mkuu? Ilibidi kucheza kwa tahadhari sana kuepuka majeruhi, na hii kitu wachezaji waliambiwa toka mchana, hali ya pitch ilikua sio rafikiJumapili hamtoki aisee... Msijipe moyo!!! Game ya leo mmeshinda ila mmecheza vibaya mno
.
.
.
Ingekuwa ni dhidi ya Klabu ya EPL tungezengumza mengine.