Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Yaan we jamaa unaongea kitu ambacho daily nawaambia watu humu.
Big up
 
Belo uko sahihi mkuu ktk maelezo yako.

Matatizo yalikua ni lukuki Na si eti kwamba kocha mbinu zake zilifika ukomo.

Nimeamua kua kimya kwasababu naona watu hawataki kujadili ukweli lkn shukrani kwako naona Sasa umekuja Na hoja nzuri kuweka sawa na huu ndio ukweli ulivyo.
 
Nawe usimchukie km adui yako. Bado ni kocha Wa timu yako halali

Hao kina Moyes wanavurunda Zaidi kuliko Mourinho.
 
Belo kaeleza vizuri ila amemakizia kwa kusisitiza kuwa Mourinho ana shida zake
Sasa zile shida alizo maliza nazo zile ndio zitamtoa man utd
Mourinho anasimamia kile anachokiamini Na ktk hilo sio muite ni shida zake. Hapana. Na yuko sahihi kusimamia hicho anachoamini
 
Arleta hivyo unahaki
 
Tuchague moja
Either tutoke Europa halafu tukomae na ligi
Au
Tukomae na Europa ila ligi tukubali kuwa wa 8

Sjui itakuwa vip hapo
 
Haya haya tuone tena leo tutatokaje ..mh huu uwanja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…