Kwa hiyo unachotaka ni goli la ufundi ama? Goli la ufundi na lisilo na ufundi lina effect vipi matokeo? BTW, Ibra alitumia akili, baada ya kuona kipa yupo mbali na goli. Siyo wachezaji wengi wanaweza kufanya hivyo.
Maan, don't be so bitter and negative to the point of making a fool of yourself...maana kwa kung'ang'ania kusema goli la Ibra ni kosa la kipa, unasahau nilichokisema kwamba soka ni mchezo wa makosa: make ma mistake, opponents wana-capitalise kwa kufunga. Sasa kama unachokifanya siyo ku-discreti goli, basi nakuwa na mashaka na uelewa wako wa mpira.
Ebu nitajie goli 1 tu katika historia ya soka ambalo halikutokana na kosa la mchezaji au wachezaji wa timu iliyofungwa.
Okay, nifanye kukubaliana na hili. Akifukuzwa, what next? Who should take over?
1. José amfanyaje ili Pogba a-fit? Kwa United ya sasa, ni mido gani huyo aliye na kasi ili u-slowness wake usiathiri timu? Ni combination ipi ya midfielders ambayo itamfanya Pogba a-fit?
NB: unapotoa mfano wa Vidal na Pirlo, nani hapo alikuwa na kasi?
2. Bastian na Morgan: kwa hiyo unataka kusema hawa ndiyo wawe starting midfielders? Really? And you criticise José's tactics by bringing this? Unasema mechi nyingi wameonyesha umuhimu wao: kwa kuwa unapenda numbers, ebu thibitisha kauli yako kwa kuonyesha statistics zinazoonyesha umuhimu wa hao wawili walipocheza pamoja (na wala sikumbuki kama ilishatokea, I might be wrong though).
NB: unavyotaja hao madogo, unamaanisha watumiwe kama midfield combo na Pogba ama watumiwe kama midfielders kwenye starting eleven?
3. Morali na nidhamu ya timu: José afanyaje ili morali na nidhamu iwepo? What more should he do? Awaandaaje wachezaji? What if, amewafanya hayo, lakini wachezaji hawabadiliki? Ni wakati gani lawama zinapaswa kwenda kwa wachezaji pia? Maana ni rahisi kumlaumu kocha, huku ukisahau wachezaji nao wana-play a bigger role on the results.
4. Matabaka: you seem to know about what happens in United's changing room. Ebu tusaidie hayo matabaka yanayojengwa? Licha ya kukubaliana na wewe juu ya kutoweka mzigo mkubwa kwa Ibra (sababu kubwa ni umri wake), hilo la matabaka ni baloney, unless you prove it. Unasahau kwamba unaongelea professional players, ambao kila mmoja anafahamu nafasi yake kwenye timu. Kila timu lazima kuwe na superstar(s) ambaye anakuwa treated tofauti na wenzake! Hili haliwezi kuwa tatizo kwa professional players, hata kama kweli José anawapendelea Ibra na Pogba.
5. Henrik: unataka José amtumiaje zaidi? Toka amefika, muda mrefu amekuwa majeruhi! Games 2 zilizopita, Henrik kapewa playing time ya kutosha, na he didn't disappoint! Sasa unataka utumiweje zaidi?
I have never seen a football club's fan this bitter, negative and pessimistic about his/her team. Honestly, you are just hurting yourself, especially knowing that no matter how bitter and pissed you are, you will have no IMPACT on what happens at United! The best thing you can do, is to enjoy the moment, feel sorrow for bad days in the office, and MOST IMPORTANTLY, be rational.
1.Goli la Ibra, narudia kuwa sija discredit goli lake ila nasema, goli lilitokana na Keepers error zaidi rather than ufundi binafsi wa mchezaji. Najua wewe ni muangaliaj mpira mzuri lakini unavo yachambua magoli ujue kuna vitu kama
Individual error au skills
Team error au skill
Communication error au skills
Kufunga goli kuta taka mfungaji awe na skills , kufungwa goli kuta taka mfungwaji afanye error. Sasa kuna time error % ina zidi skill % au vice versa, kazi kwako ni kuchambua kipi kili zidi kipi. ukitaka nitafute nikupe kitabu hiki usome.
'44 Secrets for Great Soccer Goal Scoring Skills' kimeandikwa na Mirsad Harsic. Huta pata tatizo la ku mpa credit mfungaji au mfungwaji wa goli.
2. Basti na Schneiderln, sija sema waanze au wacheze dakika zote tisini, kama uliona mchezo wa jana utajua wali hitajika wao kuliko Fellaini. So jana tu mechi ya stoke na Arsenal pia mtu kama Basti ali hitajika.
3. Yeye ndio kocha, yeye ndio kiongozi, hivo lawama ata pewa yeye kuliko wachezaji, ahakikishaje morali ni jambo ambalo hata kocha wa level 1 hufundishwa, kuna kitu kinaitwa sports psychology mkuu ni moja ya foundation course za ukocha. Kwa nini Mou aliondoka Madrid next year Anceloti akaja kubeba UEFA? Kwa nini Mou aliiacha pabaya Chelsea lakini Conte na Hiddink walijitahidi!? Tena wakicheza na vikosi almost hivo hivo alivo viacha Morinho!? Tatizo Siyo teknik tuu, hata suala la saikolojia ya wachezj lina husika.
Kama Mou hajui afanye nini ili morali iongezeke bas ndio ana stahili kufukuzwa.
5. Ukiweka hicho kitu kinacho itwa exceptional treatment bas ukifanye kwa exceptional player ambaye ni kweli some tyme single handedly ana ibeba timu, ila si Ibra na Pogba, they are just equal with other players kwa viwango wanavo onesha sasa, haina haja ya special treatment kwao. Part of being good coach is being fair kwa sasa pale man u ili kuwa fair lazima awa treat wote kama equals. Umesema kila timu lazima kuwa na superstar anaye treatiwa tofauti
Messi kwa Barca Yes
Ozil kwa Arsenl yes
Ronaldo kwa Madrid yes
Man u hatuna hata mmoja wa aina hiyo tunajidanganya hapo. Na Mou ana fanya kosa la kuwaza kama wewe unavo waza.
5. Nakubali kuwa alikiwa majeruhi lakini alisha pona mechi 3 au 4 kabla ya jana, yet alikiwa hapangwi, nakubali kuwa at leat mechi mbili za mwisho kapangwa aendelee hivo hivo.
Wewe huwezi kunielewa kama unaingiza mitazamo yako ya ki personal, mfano mimi i have never seen a fan who think knows man utd in the sense of being arrogant as you! Uwa unajiskia kama wewe ndio shabiki bora hivi, unaijua timu vzuri unaujua utamaduni wa utd vizuri, wakat uko Tandale tu kama sisi wengine. Unajihisi ni shabiki mzuri mpaka unataka wengine tuwe kama wewe. Lakini sija wahi ingiza bias zangu kwenye comments zako, nyingine huwa nzuri tuu na huwa na kubali unapokuwa upo sahihi. Ukitaka kuwa ratianal pungiza kujiona wewe ndio kilanja wa mashabiki wa utd, sikiliza maoni ya kila mtu na usitake kila mtu awe kama wewe, halafu nakushauri soma majarida mbali.mbali ya soka, nenda hata you tube uangalie tekniks mbali mbali we mpira unajua ila kuna ki ji elim flan hivi unakikosa.
Am not bitter, natoa na data zangu, tungekuwa wa Pili kwenye ligi, data zingekiwa vizuri si ajabu ningekuwa namsifia hapa Kocha, lakini hali yetu si nzuri na haitii matumaini so lazima niseme. Na expect hatutaingiza mitazamo binafsi juu yetu ili mazungumzo yetu yawe na maelewano.