Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Scholes :" mourinho inabidi asajili wachezaj wake ila sio hawa ambao misimu 2 ya nyuma wameonesha hawako tayari kufia klabu la sivyo watamuumiza mno".
Nyie mnamuona hafai malegend ndio kwanza wanampa ushauri...
Aongeze wengine sio??
 
Scholes :" mourinho inabidi asajili wachezaj wake ila sio hawa ambao misimu 2 ya nyuma wameonesha hawako tayari kufia klabu la sivyo watamuumiza mno".
Nyie mnamuona hafai malegend ndio kwanza wanampa ushauri...
Achana nao.. Eti sasa hivi WAMERIDHIIKA NA WENGA wao..
 
tangu umeujua mpira ushawah kusikia tumecheza vizur europa huko ni kwa kina sevilla tinakamilisha ratiba na ndo mana ktk makocha wa manchester united hakuna kipengele ktk mikataba yao kinachosema ushinde na kushirik ueropa

mourinho kasema wachezaji wangu wamecheza kama mech ya kirafiki hawakuonesha juhud wajua kwa nini hawana mzuka
Kimfaacho mtu chake
 
Namaanisha imebaki story



huyo fernebach alipofungwa nne moja mech ya mwanzo story ilikuwa inaendelea



tukishinda muwe mnajitokeza kama hiv msiwe mnajificha mnafuatalia game za kufungwa mnalipuka tukibamiza mnaumwa hata simu hamuwez kushika
 
halafu jamaa anakuletea mimamo wa lig aseno wa pili ana point 23 hapo wao kwisha kazi wakat ili bingwa apatikane ni zaid ya point 75
WAAACHE NA UJINGA WAO

WENZAO WANAFURAHIA UBINGWA WAO WANAFURAHIA TOP 4...

.. ARSE8 BWAANA.. NIMEMISI SAANA KALE KAMCXHEZO KAO CHA KUMXORA WENGA OUT WENGA OUUUT..
 
Nayakumbuka maneno ya kloop ambaye alisema kumsajimli mchezaji kwa pesa ya zaidi paund 90 ni ujinga kwasababu unaweza msajili na asiperforme vile utakavyo au akaishia majeruhi tuu ndo ninayaona kwa pogba ...
Pogba ana miaka 23.. Bado ana miaka mingi ya soka.. Mkuu
 
Dah, poleni sana Man U fans kwa maana huwa baadhi mnakuja kwangu kule kunipa sapoti hivyo sina budi kuungana nanyi kwa hali zote.

Nimetazama marudio ila simlaumu sana Mou bali Players hawakuwa na ari na uchungu wa kupata ushindi. Wanahitaji kucheza kwa bidii sana.
 
Back
Top Bottom