radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,450
- 32,290
Cha kushangaza kwenye Msimamo uko chini ya kibonde wako....
Sasa sijui ni kibonde wa aina gani..
![]()
pamoja na advantage ya alphabet ktk upangaji wa ratiba arsenal huwa juu ya manchester united miaka yote na huwa anaongoza ligi kama kawaida na anaishindwa kuitumia hiyo adavantage ila mwisho wa ligi anaanza kuwa na presha ya kuitafuta top four as if nae ana kocha mpya
