Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Another problem ni kuruhusu kufungwa goli mapema (ndani ya dakika 15) timu inakuwa inacheza kwa presha kubwa
 
Another problem ni kuruhusu kufungwa goli mapema (ndani ya dakika 15) timu inakuwa inacheza kwa presha kubwa
Lile goli lilikuwa siyo la kuzuilika...individual brilliance!
 
Team selection na sub zinaendelea kumuangusha Mourinho ,kumtoa Pogba unamuingiza Zlatan while tayari una Rooney,Martial,Rashford uwanjani na benchi una Mata na Mkhitarian
Pogba hajatolewa, katoka kwa kuumia..ingawa nakubaliana nawe kuhusu kuingia Zlatan..
 
Lile goli lilikuwa siyo la kuzuilika...individual brilliance!
Tunaanza mechi tumesinzia game ya Man City,Chelsea na leo tunaruhusu goli ndani ya dakika 15 za mwanzo
 
Hii timu inachosha sana, naona uongozi unahitaji kuwapa wachezaji na kocha reality check hili suala la muda ni upumbavu kikosi tulichonacho hakihitaji muda kuona matokeo upuuzi kama huu hautokei bayern, Madrid, Barcelona
 
IMG_20161103_222331.jpeg
9827a5b5ec4a12197f3d5d0a8775f6af.jpg



 
Hii timu inachosha sana, naona uongozi unahitaji kuwapa wachezaji na kocha reality check hili suala la muda ni upumbavu kikosi tulichonacho hakihitaji muda kuona matokeo upuuzi kama huu hautokei bayern, Madrid, Barcelona
Punguza munkali mkuu tuivumilie ndo timu yetu tena lakini inaumiza sana
 
Ila Mou ananiboa sana kumchezesha Pogba namba kumi. Anampa majukumu yasiyo yake Pogba nafasi yake ni namba nane, kumi hawezi hata kidogo.

Kama vp angempumzisha basi nafasi yake acheze Mata, Hivi Mata anakaaje Benchi?.

Anyway kafanya vizuri kumpumzisha Ibra na kumuanzisha Rooney, pia nimefurahi angalau nimemuona Benchi Mikit nadhani atakuwa na dakika chache uwanja. Ni jambo jema pia kumuanzisha Martial angalau akili yake isozoee kukaa Benchi akapoteza kiwango chache.

Am waiting.....!!

GGMU GGMU GGMU GGMU
Kuboa ndio kawaida ya special one
 
Hapa hatuitaji uvumilivu Bayern, Madrid, Barcelona wote wamebadili makocha ila hatuoni upuuzi kama huu timu inashindwa kufunga goli, Ibra, Martial na wachezaji wengi ni mizigo
 
Back
Top Bottom