everlenk
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 11,628
- 15,032
Unamjua Jose Mourinho ?Timu kubwa imeweka full mziki kwenye kikombe cha kuku
Leo humu huambulii kitu nenda kawape pole wanalondon wenzakoMan Utd wanaweza ku-afford kuweka kikosi cha kwanza sababu next match watacheza vs Liverpool killers Burnley. Mourinho mwenyewe ali-indicate baada ya kipigo cha magoli 4 wanategemea ushindi in next few league games. Tusubiri tuone kama arrogance italipa. Sitaki kusikia kisingizio kuwa baadhi ya wachezaji walikuwa wamechoka sababu ya mechi ya jumatano (vs Citey)

Unataka nani acheze kushoto wakati Baily ameumia Rojo na Blind wamerudi kucheza katiLuke Show hayuko vizuri kabisa,
Halafu kwakweli sivutiwi na mpango wa Mou kumchezesha Pogba namba kumi.. anampa presha za bure hasa kwenye mechi kama hii.
Timu kubwa imeweka full mziki kwenye kikombe cha kuku
Si yule aliyewhisper kwa conte asirudie tena kumpiga kipigo kama kile??Unamjua Jose Mourinho ?
Unataka nani acheze kushoto wakati Baily ameumia Rojo na Blind wamerudi kucheza kati
Hata huku sijui wana nini dstvMbona kwetu Dstv imezingua au kwangu tuuuup
Mhhh!!! Rashford hujamuona ?United hawajaweka hata kinda mmoja si benchi si first XI. Kweli jana sio leo. Mourinho wa juzi (at Chelsea) alikuwa anawapa makinda wachache katika mechi kama hizi.
United hawajaweka hata kinda mmoja si benchi si first XI. Kweli jana sio leo. Mourinho wa juzi (at Chelsea) alikuwa anawapa makinda wachache katika mechi kama hizi.
Acha propaganda Jose huwa hafanyi unachozungumza na ni muwazi kwenye hiloUnited hawajaweka hata kinda mmoja si benchi si first XI. Kweli jana sio leo. Mourinho wa juzi (at Chelsea) alikuwa anawapa makinda wachache katika mechi kama hizi.
Mhhh!!! Rashford hujamuona ?
Acha propaganda Jose huwa hafanyi unachozungumza na ni muwazi kwenye hilo
Shaw alivunjika hakucheza almost last season na mwezi uliopita aliumia tena hii ndio game ya kwanza anacheza tangu arudiUelewa ni kitu adimu sana kwa Wabongo,
Wapi nimesema nataka fulani acheze nafasi ya Show? Nilivhozungumzia ni performance yake kwa mechi hii ya leo hususani dakika hizi alizoveza.