xYz07
JF-Expert Member
- Apr 13, 2015
- 4,077
- 5,918
Mkuu mi nili m quote kunguru mjanja kwenye ile link yake ya kwamba mou kamuambia rooney kuwa anaweza kuenda nilipofungua ile link ndio nikakutana na the sun, (nikamjibu mkuu bado unasoma the sun?) hyo inayohusu maisha ya mou jijini manchester kaiweka explore na sijamjibu kitu maana nimeisoma sehemu nyingi tofauti na hyo mirror.Unajua nini, yaliyoandikwa juu ya Mourinho lately ( juu ya his life being in a bit disaster in Manchester & juu ya Pogba) yapo katika hayo magazeti unayoyakubali. In fact Mourinho ameyasema hayo akiwa katika interview with the Sky sports hayo magazeti mengine usiyoyayakubali (kuya disi, kama ulivyosema) yamenukuu alichosema katika interview.
Kwa hiyo kesho ukija na articles za magazeti unayoya disi tunatakiwa tusikuamini au ?
Nadhani hapa ulishindwa kuelewa ni habari gani niliyo ishit kati ya hyo mou kumuambia rooney aondoke au maisha ya mou jijini
GGMU
