Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hizi ni dalili mbaya...naona mdogmdogo mnaanza kuwa kama Liver/Arsenal...wazee wa historia!!!
Wewe unaongea vitu vya ajabu. Last season we won FA cup, in fact this year. Talking about EPL we won it 2013. Kumbuka tukiwa na Ferguson tulikaa kuanzia 03-07 ndio tukapata EPL. Sasa sioni ajabu kukaa three/four seasons bila kombe. Hebu tukumbushe wewe Chelsea how long mmekaa bila EPL title?!! Well, nafikiri haina maana kwa sababu obvious umeanza kushabikia Chelsea alivyokuja Abramovich so hujasubiri 50yrs kwa ajili ya kombe.
 
ee72a65a49aca1052980d3201f4fa6c8.jpg


mazoezi ya kupaki bus yanaendelea OT.
 
Jaman mwenzenu kila nikimcheki Jose naona u van gaal una anza kumuingia
Mfano leo anasema anadhani Pogba anaweza kuwa CD mzuri kabisa, huyu jamaa kuna kitu hakiko sawa huyu
 
Jaman mwenzenu kila nikimcheki Jose naona u van gaal una anza kumuingia
Mfano leo anasema anadhani Pogba anaweza kuwa CD mzuri kabisa, huyu jamaa kuna kitu hakiko sawa huyu
Lvg yule mzee ni wa kipekee, Mourinho kuwa na akili za miaka ya 80 kama yule mkaburu never.
 
upload_2016-10-26_12-28-31.png


upload_2016-10-26_12-28-57.png


Titaoa mbivu leo, la kuvunda halina ubani.
Khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Duuh mtani umerudi
Kitambo sana watu tukafikiri umepata janga
Nitakuja kijiweni kwenu kuzingua
Heheheeeheheee

Karibu mkuu, mambo poa tuendeleze libeneke .... .... ... Ding ...Dong.
 
Hadi wewe umeibuka?!! Kweli Man Utd chama kubwa!

Mwambie eqlpyssssssssssssss arudi basi, au ndio kabadili jina kama ada ... .. ... ... ... khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee au ndio vichapo vimemkimbiza.
 
Huku Ndiyo Kuchanganyikiwa Kwenyewe! Hope soon Tutasikia Pogba Anataka Kuchezeshwa Nafasi Ya Ukipa...

Screenshot_2016-10-26-16-56-53.png
 
Back
Top Bottom