Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hivi ni magazeti gani mnayoyaamini? herrera, everlenk et la naona kila gazeti linalochapisha so called negative juu ya klabu ipendwayo na baadhi ya mashabiki gazeti hilo litapigwa dongo.
 
Hivi ni magazeti gani mnayoyaamini? herrera, everlenk et la naona kila gazeti linalochapisha so called negative juu ya klabu ipendwayo na baadhi ya mashabiki gazeti hilo litapigwa dongo.
Siku ukiona nime idisi THE GURDIAN, TELEGRAPH, INDEPENDENCE, TIMES, BBC, SKY SPORT(japo nao kwenye transfer market nimeanza siwaamini) naomba uje unikumbushe hili swali lako.
 
Hivi ni magazeti gani mnayoyaamini? herrera, everlenk et la naona kila gazeti linalochapisha so called negative juu ya klabu ipendwayo na baadhi ya mashabiki gazeti hilo litapigwa dongo.
Tatizo unaleta sensationalist newspapers kama vyanzo vya habari...hayo ni sawa na Uwazi, Ijumaa, Sani n.k. kwa Bongo...
 
"I have big experience for these kinds of games and of course you always want to be the boss of the city"zlatan ibrahimovic..on the derby.
 
"I have big experience for these kinds of games and of course you always want to be the boss of the city"zlatan ibrahimovic..on the derby.

He (Ibra) Still believe his Fucking False Hope that one day All Football fans at the city of Manchester will Support Man United and abandon Man City! What ridiculous is this??? No doubt he is out of his damn mind! The only thing he should cares for now is his age coz soon he will end his football Carrier.
Hope tonight will be another humiliation for Man U's Supporters....
 
Siku ukiona nime idisi THE GURDIAN, TELEGRAPH, INDEPENDENCE, TIMES, BBC, SKY SPORT(japo nao kwenye transfer market nimeanza siwaamini) naomba uje unikumbushe hili swali lako.

Unajua nini, yaliyoandikwa juu ya Mourinho lately ( juu ya his life being in a bit disaster in Manchester & juu ya Pogba) yapo katika hayo magazeti unayoyakubali. In fact Mourinho ameyasema hayo akiwa katika interview with the Sky sports hayo magazeti mengine usiyoyayakubali (kuya disi, kama ulivyosema) yamenukuu alichosema katika interview.
Kwa hiyo kesho ukija na articles za magazeti unayoya disi tunatakiwa tusikuamini au ?
 
Tatizo unaleta sensationalist newspapers kama vyanzo vya habari...hayo ni sawa na Uwazi, Ijumaa, Sani n.k. kwa Bongo...

Kila gazeti, media lina sensationalism sentiments. Kama nilivyomjibu herrera alichosema Mourinho juu ya maisha yake kuwa mabaya jijini Manchester(pamoja juu ya Pogba) kilisemwa akiwa na mahojiano na Sky Sports na vile vile vipo katika vyanzo vyingine vya habari UK. Sasa mnataka kusema nini? Je Mourinho amesema hivyo kujenga agenda au amesema hivyo kutokana na anavyojisikia? Kwa mimi nachoona humu wengi sometimes hatutaki kusikia negative news zinazohusisha timu tuzipendazo kitu ambacho si sawa. Tujaribu kuwa objective sababu hizi timu zinaendeshwa na binadamu kama sisi sio mashine.
 
Wewe unaongea vitu vya ajabu. Last season we won FA cup, in fact this year. Talking about EPL we won it 2013. Kumbuka tukiwa na Ferguson tulikaa kuanzia 03-07 ndio tukapata EPL. Sasa sioni ajabu kukaa three/four seasons bila kombe. Hebu tukumbushe wewe Chelsea how long mmekaa bila EPL title?!! Well, nafikiri haina maana kwa sababu obvious umeanza kushabikia Chelsea alivyokuja Abramovich so hujasubiri 50yrs kwa ajili ya kombe.


Heri yako ulianza kushabikia Man utd since uko tumboni mwa mama. kudos to you bro.

Hahahaha 20042005 nilikuwa namaliza A level my friend..paleee Majengo sec, Moshi, Kilimanjaro...sasa ukiuliza wenyeji wa hapo watakuambia vilabu vilivyokuwa famous maeneno hayo ni Highbury (Arsenal) na Man useless...ningekuwa mfuata makombe ningebadilisha timu kipindi kile. Sikuipenda Chelsea kwa kuangalia kwenye TV..the first thing was 'the blues'...that is the first thing that made me choose the team, then the black guys...hapo sijaona mechi yoyote zaidi ya picha. Get your facts right.

Sisi ndio wale ambao TV ilikuwa inakaa chumbani kwa wazazi. the only times unaona mechi hizo ni kama tunacheza na Man utd ama Arsenal maana hao ndo walikuwa na vibanda vyao.

Next time tafuta a better excuse..history man!!!!
 
morinyo anaposema maisha yake yapo hatarini hamaanishi kuwa anawindwa kwa mabaya bali kutokana na kukaa kwake hotelini kunamnyima raha dhidi ya mapaparazi waliozunguka eneo aliopo kiasi kwamba hata restaurant inamuwia vigumu kwenda hadi anaamua kuorder chakula kupitia mtandaoni
 
straika weka martial/rashford,winga mata na ashelyoung,viungo herera,carick,pogba na beki weka rojo,shaw,erick,valencia
 
hakika mwezi wa 1 dirisha dogo morinyo atauza wengi sana na kuna hati hati atamnunua matuidi na griezman kuimarisha kiungo na ushambuliaji
 
Heri yako ulianza kushabikia Man utd since uko tumboni mwa mama. kudos to you bro.

Hahahaha 20042005 nilikuwa namaliza A level my friend..paleee Majengo sec, Moshi, Kilimanjaro...sasa ukiuliza wenyeji wa hapo watakuambia vilabu vilivyokuwa famous maeneno hayo ni Highbury (Arsenal) na Man useless...ningekuwa mfuata makombe ningebadilisha timu kipindi kile. Sikuipenda Chelsea kwa kuangalia kwenye TV..the first thing was 'the blues'...that is the first thing that made me choose the team, then the black guys...hapo sijaona mechi yoyote zaidi ya picha. Get your facts right.

Sisi ndio wale ambao TV ilikuwa inakaa chumbani kwa wazazi. the only times unaona mechi hizo ni kama tunacheza na Man utd ama Arsenal maana hao ndo walikuwa na vibanda vyao.

Next time tafuta a better excuse..history man!!!!
2004/5 I was watching premier league games in stadium in UK. Whatever u say I knew u started very late!
 
Back
Top Bottom