For sure, Manure wanafurahisha sana!!..Tatizo Arsenal wanafurahisha mechi moja halafu wakifululiza huzuni ni mpaka mnachanganyikiwa na AW wenu!!..ila ndio kandanda mamii!!..Good to see you here Michelle!!
For sure, Manure wanafurahisha sana!!..Tatizo Arsenal wanafurahisha mechi moja halafu wakifululiza huzuni ni mpaka mnachanganyikiwa na AW wenu!!..ila ndio kandanda mamii!!..Good to see you here Michelle!!
Hiyo ilikuwa goli la drogba, sijatulia mara limeongezwa la pili kwa Maure!!
Papizo naombea mpira uishe hapa hapa mana presha hizi sasa!!dakika zinayoyoma lakini!