Manchester United (Red Devils) | Special Thread

:angry: ni kweli Papizo....naona Park kafanya kweli,ndo maana nilikuwa nataka avunjwe,nilijua atafunga goli leo.....:angry::angry:

Kabisa yaani...naona ulimuombea ila kakupa zawadi haha
 
ndo raha ya MAN bwana,within seconds mambo yanakuwa shwari.....kazi kwetu washabiki wa Arsenal.....l.o.l

Njoo huku bwana hama huko ARSENAL...Huku ndio kwenye mpira.....hahaha
 
ndo raha ya MAN bwana,within seconds mambo yanakuwa shwari.....kazi kwetu washabiki wa Arsenal.....l.o.l

For sure, Manure wanafurahisha sana!!..Tatizo Arsenal wanafurahisha mechi moja halafu wakifululiza huzuni ni mpaka mnachanganyikiwa na AW wenu!!..ila ndio kandanda mamii!!..Good to see you here Michelle!!
 
Reactions: BAK
Huyo Park wenzake ata kabla hawajamaliza kushabikia akawanyamazisha hehehe...
 
Red devils ????????????????????????????????????????????? Devils???????????????????
 
For sure, Manure wanafurahisha sana!!..Tatizo Arsenal wanafurahisha mechi moja halafu wakifululiza huzuni ni mpaka mnachanganyikiwa na AW wenu!!..ila ndio kandanda mamii!!..Good to see you here Michelle!!

Acha tu,na mimi nishakuwa kama Torres,timu nayoipenda haichukui kombe na niki divert kusapoti nyngine nayo inafungwa....kazi kweli kweli...

Good to see you too Belinda....siku nyingi kidogo,hopefully you are good!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…