Papizo JF-Expert Member Joined Feb 24, 2008 Posts 5,249 Reaction score 2,156 Apr 12, 2011 #5,241 Michelle said: Ramires.....Chelsea wameumia kwa kutoka huyo kijana.......!!kazi kweli kweli....!:disapointed: Click to expand... Mpira una dunda lakini usisahau hivyo sawa??
Michelle said: Ramires.....Chelsea wameumia kwa kutoka huyo kijana.......!!kazi kweli kweli....!:disapointed: Click to expand... Mpira una dunda lakini usisahau hivyo sawa??
Eqlypz JF-Expert Member Joined May 24, 2009 Posts 4,065 Reaction score 651 Apr 12, 2011 #5,242 Angalieni tofauti ya bei Javier Hernandez 6 million pounds, Fernando Torres 50 million pounds...heehe tofauti tumeiona uwanjani.
Angalieni tofauti ya bei Javier Hernandez 6 million pounds, Fernando Torres 50 million pounds...heehe tofauti tumeiona uwanjani.
Papizo JF-Expert Member Joined Feb 24, 2008 Posts 5,249 Reaction score 2,156 Apr 12, 2011 #5,243 Wacha1 said: Kuna majukwaa mawili moja la Mafioso wenzenu khe khe kh ekheeeeeeeeeeeeeeeeeeeee Click to expand... Ok sawa sawa mkuu nilikuwa sijajua kabisa......
Wacha1 said: Kuna majukwaa mawili moja la Mafioso wenzenu khe khe kh ekheeeeeeeeeeeeeeeeeeeee Click to expand... Ok sawa sawa mkuu nilikuwa sijajua kabisa......
Eqlypz JF-Expert Member Joined May 24, 2009 Posts 4,065 Reaction score 651 Apr 12, 2011 #5,244 Hahahah gaffer kweli kacheza hapa kwa Valencia... anamuingiza wakati beki ya Chelsea imechoka na iko streched.
Hahahah gaffer kweli kacheza hapa kwa Valencia... anamuingiza wakati beki ya Chelsea imechoka na iko streched.
mfarisayo JF-Expert Member Joined Nov 23, 2010 Posts 5,160 Reaction score 2,004 Apr 12, 2011 #5,245 Gud sub
Papizo JF-Expert Member Joined Feb 24, 2008 Posts 5,249 Reaction score 2,156 Apr 12, 2011 #5,246 Eqlypz said: Angalieni tofauti ya bei Javier Hernandez 6 million pounds, Fernando Torres 50 million pounds...heehe tofauti tumeiona uwanjani. Click to expand... Hahahaha mkuu hawana kitu hawa.....hahah raha sana kwa kweli alafu kocha wao leo alikuwa anaongea kwa confidence kabisa.....
Eqlypz said: Angalieni tofauti ya bei Javier Hernandez 6 million pounds, Fernando Torres 50 million pounds...heehe tofauti tumeiona uwanjani. Click to expand... Hahahaha mkuu hawana kitu hawa.....hahah raha sana kwa kweli alafu kocha wao leo alikuwa anaongea kwa confidence kabisa.....
Wacha1 JF-Expert Member Joined Dec 21, 2009 Posts 16,676 Reaction score 8,246 Apr 12, 2011 #5,247 Eqlypz said: Angalieni tofauti ya bei Javier Hernandez 6 million pounds, Fernando Torres 50 million pounds...heehe tofauti tumeiona uwanjani. Click to expand... Mwoga wewe nasikia ulikuwa unachungulia tu Drog the bar anaweka chuma khe khe keh khe ke khe Park naye anaweka chuma kingine khe khe kheeeeeeeeeeee
Eqlypz said: Angalieni tofauti ya bei Javier Hernandez 6 million pounds, Fernando Torres 50 million pounds...heehe tofauti tumeiona uwanjani. Click to expand... Mwoga wewe nasikia ulikuwa unachungulia tu Drog the bar anaweka chuma khe khe keh khe ke khe Park naye anaweka chuma kingine khe khe kheeeeeeeeeeee
Michelle JF-Expert Member Joined Nov 16, 2010 Posts 7,631 Reaction score 3,543 Apr 12, 2011 #5,248 Bravoooo Drogba.....at least!
BelindaJacob Platinum Member Joined Nov 24, 2008 Posts 6,494 Reaction score 4,076 Apr 12, 2011 #5,249 Aggr Drogba, du!!..haya sasa, kama siyo kichapo sijui!!...
samora10 JF-Expert Member Joined Jul 21, 2010 Posts 7,607 Reaction score 4,817 Apr 12, 2011 #5,250 park ji sun g
Papizo JF-Expert Member Joined Feb 24, 2008 Posts 5,249 Reaction score 2,156 Apr 12, 2011 #5,251 Tunauwa leo
BelindaJacob Platinum Member Joined Nov 24, 2008 Posts 6,494 Reaction score 4,076 Apr 12, 2011 #5,252 Michelle said: Bravoooo Drogba.....at least! Click to expand... Man 2-Chelsea 1..presha ime-stabilize🙂)) lol
Michelle said: Bravoooo Drogba.....at least! Click to expand... Man 2-Chelsea 1..presha ime-stabilize🙂)) lol
Papizo JF-Expert Member Joined Feb 24, 2008 Posts 5,249 Reaction score 2,156 Apr 12, 2011 #5,253 Hatuangalii usoni kabisa...hahaha PARK sio mchezo huyu mtoto....
Eqlypz JF-Expert Member Joined May 24, 2009 Posts 4,065 Reaction score 651 Apr 12, 2011 #5,254 Hahah.. huyu Giggs ana miaka mingapi?
Michelle JF-Expert Member Joined Nov 16, 2010 Posts 7,631 Reaction score 3,543 Apr 12, 2011 #5,255 Papizo said: Mpira una dunda lakini usisahau hivyo sawa?? Click to expand... :angry: ni kweli Papizo....naona Park kafanya kweli,ndo maana nilikuwa nataka avunjwe,nilijua atafunga goli leo.....:angry::angry:
Papizo said: Mpira una dunda lakini usisahau hivyo sawa?? Click to expand... :angry: ni kweli Papizo....naona Park kafanya kweli,ndo maana nilikuwa nataka avunjwe,nilijua atafunga goli leo.....:angry::angry:
Papizo JF-Expert Member Joined Feb 24, 2008 Posts 5,249 Reaction score 2,156 Apr 12, 2011 #5,256 Michelle said: Bravoooo Drogba.....at least! Click to expand... Hahaha atleast mtu wako usiyempenda kaweka kitu hahaha
Michelle said: Bravoooo Drogba.....at least! Click to expand... Hahaha atleast mtu wako usiyempenda kaweka kitu hahaha
Wacha1 JF-Expert Member Joined Dec 21, 2009 Posts 16,676 Reaction score 8,246 Apr 12, 2011 #5,257 BelindaJacob said: Aggr Drogba, du!!..haya sasa, kama siyo kichapo sijui!!... Click to expand... Wacha woga wewe angalia mpira
BelindaJacob said: Aggr Drogba, du!!..haya sasa, kama siyo kichapo sijui!!... Click to expand... Wacha woga wewe angalia mpira
Papizo JF-Expert Member Joined Feb 24, 2008 Posts 5,249 Reaction score 2,156 Apr 12, 2011 #5,258 BelindaJacob said: Aggr Drogba, du!!..haya sasa, kama siyo kichapo sijui!!... Click to expand... Haiwezekani bana....
BelindaJacob said: Aggr Drogba, du!!..haya sasa, kama siyo kichapo sijui!!... Click to expand... Haiwezekani bana....
Michelle JF-Expert Member Joined Nov 16, 2010 Posts 7,631 Reaction score 3,543 Apr 12, 2011 #5,259 BelindaJacob said: Man 2-Chelsea 1..presha ime-stabilize🙂)) lol Click to expand... ndo raha ya MAN bwana,within seconds mambo yanakuwa shwari.....kazi kwetu washabiki wa Arsenal.....l.o.l
BelindaJacob said: Man 2-Chelsea 1..presha ime-stabilize🙂)) lol Click to expand... ndo raha ya MAN bwana,within seconds mambo yanakuwa shwari.....kazi kwetu washabiki wa Arsenal.....l.o.l
samora10 JF-Expert Member Joined Jul 21, 2010 Posts 7,607 Reaction score 4,817 Apr 12, 2011 #5,260 eti drogba sijui gbagbo!! park ji sung can do it even better