Ila pogba walimkamia hakuna mfano mamaeee wangemuachia kidogo tuMambo niliyojifunza Mechi ya Leo
Ander Herrera ni fundi sana hasa ukimpa nafasi na ukamuamini.
De Gea bado hana mfano wake katika EPL. Anapolazimika kuibeba timu mara nyingi hufanya hivyo.
Daley Blind ni mzuri sana akicheza full back ya kushoto.
United inahitaji mbinu mbadala kwenye ushambuliaji hasa linapokuja suala la mechi kubwa. Rejea mechi ya City.
Toni Valencia ni shujaa asiyeimbwa. Hazungumzwi kama wanavyozungumzwa akina Zlatan, Pogba na wengineo. Anapiga kazi yake kimya kimya.
GGMU. United We Stand.
Zlatan kiboko,kacheza vizuri saaaaanaaa! Pogba ndio mwisho katawala mchezo mwanzo mwisho!! Happy now?!!Sijaona ukiwasifia kina Zlatani na big money Pogba. Imekuwaje?
Haya mambo ya kawaida kwake,Herrera aliwapoteza sana Liverpool pale katiI thought MOTM angepewa De Gea!!!
Kwani nani kashinda?!Kwenye thread yenu mlikuwa mnaapa kabisa "kuwa kwa moto huu wa liverpool utd hachomoki"
Naona sasa mnazungumza maneno tofauti
Mlifikili mnacheza na Norwich?
Aiseeee kama watu hawakumuona herera kwa ile kazi aliyofanya huyo sio mpenzi wa soka akatafute uchi agonge tuHii perfomance ya De Gea leo ni average, kuokoa shots mbili kwake ni day off! Herrera is a beast, ila inabidi uangalie mpira kwa makini otherwise huwezi kumuona.
Sio Ibra???Man of the Match:Ander Herrera
Flop of the Match😛aul Pogba
Antonio yupo vizuri sana toka msimu uanze...yaani huwezi amini jamaa ndiyo keshakuwa full back right...Toni Valencia ni shujaa asiyeimbwa. Hazungumzwi kama wanavyozungumzwa akina Zlatan, Pogba na wengineo. Anapiga kazi yake kimya kimya.
GGMU. United We Stand.
Pamoja na kusajili hao akina pogba ibrahmovic kwa mbwembwe bado timu mbovu.cjui aje nani sasa.ha haa
sasa ameshafikisha 35 juzi ilikuwa Birthday yake!Lini Zlatan alichemka ?
Angalia anavyomiliki mpira,pasi anazotoa na work rate ukizingatia ana miaka 34
Plan ya Jose ilikuwa kutofungwa na amefanikiwa,sikutegemea kama first half tungewapoteza vileeverlenk DonDonald na Nzi na Belo leo wanashangilia Draw! (mmeshinda) mtaitizama Game kila saa hongereni.
Lini Zlatan alichemka ?
Angalia anavyomiliki mpira,pasi anazotoa na work rate ukizingatia ana miaka 34
Tatizo nyie mlijiaminisha liverpoor anashindaeverlenk DonDonald na Nzi na Belo leo wanashangilia Draw! (mmeshinda) mtaitizama Game kila saa hongereni.
Game ngumu hii kumbuka Zlatan anacheza peke yake mbele na Pogba hakuwa na msaada wowote leoibra anazidiwa hata na rashford dogo angecheza kat angekuwa na madhara sana katuzamisha game tatu ibra hasa ya stoke roho yaniuma sana anamfanya pogba kuwa chiz kamtengenezea mipira mingi sana game za nyuma.
True hata mie sijategemea kila LFC na Man U zinapocheza mmoja wao akiwa anaongelewa atashinda game ujue ndio hashindi.Plan ya Jose ilikuwa kutofungwa na amefanikiwa,sikutegemea kama first half tungewapoteza vile
Mimi pia, Herrera kacheza vizuri sana ila ni Save 2 bora za de gea zilitupa point 1I thought MOTM angepewa De Gea!!!
Wewe nawe!!! best usianze kunena kwa lugha kama majogooo maana kule wamekuwa kama mnara wa Babeli kila mtu anaongea lugha yakeAiseeee kama watu hawakumuona herera kwa ile kazi aliyofanya huyo sio mpenzi wa soka akatafute uchi agonge tu
Labda ndio sababu Mourinho anampanga. ku-knock around pass zisizokuwa na macho.Zlatani hafanyi lolote mkuu. Anachofanya sasa hivi ni ku-knock around pass zisizokuwa na macho. Cha ajabu Mourinho bado anamchezesha dakika zote 90.