everlenk
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 11,628
- 15,032
Hahaaaaaaa eti 'nani atapinguluwa'Halafu nani atapinguluwa![]()
![]()
![]()
![]()
daaah sijalisikia muda hili neno.Hawa manyumbu wa united fc wkend ijayo tunawanyoosha na morinyo waoHata mkiwa na historia!Man U hii haiwezi ifunga heavy metal Liverpool tena Anfield!
Hata kocha awe Babu Fergie mtalala tu!
Nimekukumbusha wapi?Hahaaaaaaa eti 'nani atapinguluwa'![]()
![]()
![]()
daaah sijalisikia muda hili neno.

Umetumia kigezo gani kusema inashuka?? Au ndio ukaanga sumu??Dah performance ya Paul pogba inazidi kudorora kadri siku zinavyosonga mbele. Arguably mourinho is the one to blame for this. Man! I feel so sorry for the lad.
why so???Dah performance ya Paul pogba inazidi kudorora kadri siku zinavyosonga mbele. Arguably mourinho is the one to blame for this. Man! I feel so sorry for the lad.
Kitendo cha mourinho kumpanga kama holding midfielder kinaonekana kutozaa matunda na badala yake kimekupunguza confidence na kuongeza presha kwa pogba (jamaa kasema ana-feel more confident and relaxed kama akichezeshwa wing ya kushoto as an attacking midfielder). Hilo jinamizi la ku-struggle kwenye levo ya klabu limemuandama jamaa mpaka timu ya taifa. (Jamaa confidence imepungua sana). Refer Paul pogba's performance against Bulgaria on his national duties.why so???
Mbona hata euro hakuwa na kiwango kizuriKitendo cha mourinho kumpanga kama holding midfielder kinaonekana kutozaa matunda na badala yake kimekupunguza confidence na kuongeza presha kwa pogba (jamaa kasema ana-feel more confident and relaxed kama akichezeshwa wing ya kushoto as an attacking midfielder). Hilo jinamizi la ku-struggle kwenye levo ya klabu limemuandama jamaa mpaka timu ya taifa. (Jamaa confidence imepungua sana). Refer Paul pogba's performance against Bulgaria on his national duties.
Kwani pogba anacheza kama holding midfield??? Pogba anapangwa kama namba nane na anacheza kama box-to-box yupo kote kwenye ku defend na ku attack!!! Search kwenye youtube interview yake na thiery henry utamskia alichosema!!!Kitendo cha mourinho kumpanga kama holding midfielder kinaonekana kutozaa matunda na badala yake kimekupunguza confidence na kuongeza presha kwa pogba (jamaa kasema ana-feel more confident and relaxed kama akichezeshwa wing ya kushoto as an attacking midfielder). Hilo jinamizi la ku-struggle kwenye levo ya klabu limemuandama jamaa mpaka timu ya taifa. (Jamaa confidence imepungua sana). Refer Paul pogba's performance against Bulgaria on his national duties.
Matokeo yamebaki hivyo ila ilikuwa bonge la gameMwanetu Pogba katakata, kashatupia moja[/QUO
Akikujibu nishtueMbona hata euro hakuwa na kiwango kizuri
Mi nilijua mnakocha mbovuNoma sana ila tuna fixture ngumu mno october