Busy October,
Hapa ndipo kilipo kipimo sahihi cha United, Mwezi huu kutoka tarehe 17 mpaka 29 tuna mechi 5!! Hizo siyo tu-Match..... Ni mechi za moto!!!
Tutaanza na Liver, Ferna, Chels, ManC kisha tutamaliza na Burnley... Ni mwendo wa bandika bandua,kila baada ya siku tatu... mzigoni.!!! Tutahenya sana na hapa ndipo binafsi nitampima Mou, anatakiwa kutulia, hasita zake aweke pembeni, awajenge kisaikolojia Makamanda wetu kukutana na ratiba hii.
Na kwakuwa tunakikosi kipana naamini tutadonoa mmoja baada ya mwingine then kufikia Nov tunakuwa tumevimbiwa..!!!
GGMU GGMU GGMU GGMU