Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

cafdb743bd05812b43b94788934de38d.jpg

80bcc73c630fc3eb5dc79e7b5f3f60f7.jpg

Baba na mwana wanaimba na kuchezaaa...
Chief Herrera sijui yuko wapi leo na Everlenk bila kumsahau Sister heeee heeee....Stoke wana bahati sana naikumbuka assist ya Depay pale Britania msimu uliopita
Nifundishe kunyamaza ,nifundishe kunyamaza nisije nikakukosea Mungu wangu eeee.... ......

Ipo siku yangu tu ,ipo siku yangu tu, sikuuuuuu......ipo siku yangu tu nami niba...niba....nibarikiwe!!!!!....... ....

Na point tatu.....nibarikiwe...
Kuchukua ubingwa....nibarikiwe....niba ....niba...nibarikiweee ....

Usifurahi juu yangu eeeee aduiii yanguuuuuuuu......niangukapo Mimi nitasimama tena...... .....


Hahahhahhaha ni vijimambo tu na vinanikera kweli kweli.!!!!........ WE ARE THE UNITED WE WILL MAKE IT!!!!
 
Nifundishe kunyamaza ,nifundishe kunyamaza nisije nikakukosea Mungu wangu eeee.... ......

Ipo siku yangu tu ,ipo siku yangu tu, sikuuuuuu......ipo siku yangu tu nami niba...niba....nibarikiwe!!!!!....... ....

Na point tatu.....nibarikiwe...
Kuchukua ubingwa....nibarikiwe....niba ....niba...nibarikiweee ....

Usifurahi juu yangu eeeee aduiii yanguuuuuuuu......niangukapo Mimi nitasimama tena...... .....


Hahahhahhaha ni vijimambo tu na vinanikera kweli kweli.!!!!........ WE ARE THE UNITED WE WILL MAKE IT!!!!
Kwa upako huu lazma Mungu atuone .....na ubingwa tutachukua......Amen.
 
Manchester United tumetengeneza nafasi za kufunga zaidi ya 7 ...ila tumeambulia sare ya bao 1-1 .. Kipindi cha Kwanza tulistahili kufunga zaidi ya mabao 3 ..

Zlatan Leo hakua na Bahati. ..pogba hakuwa na Bahati pia
 
Kwa mshabiki wa kwl anaejua mpira hawez lalamika leo kiwango kizuri sometimes lzma mkubali fate hichi cha leo ndio mziki tunaotaka ila naona lingerd ni better awe sub aanze martial ggmu
Ulichosema ni kweli. Perfomance ilikuwa nzuri sema tumekuwa wasteful infront of the goal!

We created five clear cut chances leo wakati we created eight clear cut chances in the last six games kabla ya leo.
 
Manchester United tumetengeneza nafasi za kufunga zaidi ya 7 ...ila tumeambulia sare ya bao 1-1 .. Kipindi cha Kwanza tulistahili kufunga zaidi ya mabao 3 ..

Zlatan Leo hakua na Bahati. ..pogba hakuwa na Bahati pia


Hatukuwa na bahat kizur ni martial kupata goli
 
Goli la Arsenal Kama la Tambwe.., lakini sijaona Burnley wakihangaika kung'oa viti na kufanya uharibifu uwanjani.. Wenzetu wamestaarabika!
 
mkuu la tambwe ni tofauti maana koscielny amefunga kwa mkono wakat tambwe amefunga kwa mguu
 
Aya Magoli ya Jioni yametawala sana wiki hii anza Tz,Congo mpaka kule Uingereza...Ila De gea naona ananogewa sana mpaka ananza kujisahau ngoja tumrudishe van gaal kidogo umakini wake urudi

Coz msimu uliopita man of the Match De gea,Timu imemove the ball very quickly naona viungo leo waaa
 
Picha za Arsenal peleka jukwaa la Arsenal

C'mooooon this is football na hakuna wa kuni limit wapi ni post kuna comments na pics lundo za washikaji kutuoka Utd kule kwenye jukwaa la Arsenal,simply i'll keep posting as long as sivunji sheria za JF kumbuka football ni burudani.
 
Back
Top Bottom