Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Sasa mkuu Mou ana kosa gani Pale!!?
Hii droo Mou hata haingii kwenye lawama
Kuhusu ligi kutushinda sio shida kwangu ila leo nimesha kubaki hilo
Namsapot mourinho.
Leo tumecheza vizuri kila sehemu kasoro umaliziaji na kipa wa stoke alikuwa vizuri ana stahili kusifiwa
Mou hana kosa. Nimeandika sehemu kuwa Mou ametenda makosa?
Mbinu za Mou zinajulikana. Basi ameli-park Daraja bovu, London na hajapata dereva wa kulileta Manchestfer. Likifika hilo ndio mtafurahia kuvuna points 3 hapa 3, pale.
Mimi namsapiti Mou napenda kucomedy zake(match press conferences zake). Pia anajua kununua mafanikio.
Nikumbushe. Hivi ametumia paunds milioni ngapi kununua wachezaji msimu huu?
 
Man city kazi wanayo
 

Attachments

  • 1475415432162.jpg
    1475415432162.jpg
    37.9 KB · Views: 29
cafdb743bd05812b43b94788934de38d.jpg

80bcc73c630fc3eb5dc79e7b5f3f60f7.jpg

Baba na mwana wanaimba na kuchezaaa...
Chief Herrera sijui yuko wapi leo na Everlenk bila kumsahau Sister heeee heeee....Stoke wana bahati sana naikumbuka assist ya Depay pale Britania msimu uliopita
 
Ahaaaa! Kumbe Ubora wenu Munaangalia Positions na Chance Hewa???
Haya Nyie Weledi Wa Soka Jipimeni Kwa Chance Hewa! Wacha Wengine Wajitume Kwa Kutupia.


I'M MAN U HATER

Unaona ulivokuwa mbwiga,

Sasa utaongeleaje mpira ukiwa na Chuki mishipani mwako...

Ndo nyie mnaong'oa viti uwanja wa Taifa, Prove me wrong!!!!
 
Mou hana kosa. Nimeandika sehemu kuwa Mou ametenda makosa?
Mbinu za Mou zinajulikana. Basi ameli-park Daraja bovu, London na hajapata dereva wa kulileta Manchestfer. Likifika hilo ndio mtafurahia kuvuna points 3 hapa 3, pale.
Mimi namsapiti Mou napenda kucomedy zake(match press conferences zake). Pia anajua kununua mafanikio.
Nikumbushe. Hivi ametumia paunds milioni ngapi kununua wachezaji msimu huu?
Msimu hauja isha
Ukiisha njoo tufanye tathmini

Ila leo tumecheza vzuri tuu, ushindi hufugwi una nunuliwa tukiona hatushindi tuta nunua tena
 
Back
Top Bottom