Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Nimepita kuwasalimu mapema kabisa nitarudi baadaye mechi ikiisha.

Bailly5 najua siku hizi unanikimbia watafute cute b na everlenk waambie leo Pogboom atafanya mjaae humu, bila kumsahau herrera maana wiki kadhaa jukwaa lilipoa

1474704757006.jpg
 
HAHAAA umeanza ukuda asubuhi yote hii, hili jukwaa halijawahi poa wasipokuwepo wenyeji, wakuda wanajaa tele humu
herrera upooooooooooogba au ndio kinyongeee mana kwa unyonge ndugu zangu mnatia huruma hivi leo ndio game ya ngapi mou amepoteza mkichapwa na hii
 
Nachopendea jukwaa la man u ni shamba la bibi yani halina mwenyeji tofauti naajukwaa mengine yote
 
herrera upooooooooooogba au ndio kinyongeee mana kwa unyonge ndugu zangu mnatia huruma hivi leo ndio game ya ngapi mou amepoteza mkichapwa na hii
andika kimakonde labda nitalielewa swali lako, HAHAAA unataka kujua alizopoteza au atakazokua amepoteza?
 
Back
Top Bottom