RRONDO
Platinum Member
- Jan 3, 2010
- 57,799
- 129,636
Timu nzuri hii, Rooney alikuwa mzigo, Fellaini wala sisemi.4-3-2-1 ndiyo formation...Mata anacheza 10..Anders 6 na Pogba 8...ngoja tuone itakavyokuwa. Lakini I'm very optimistic na kikosi haswa nikimuona Anders na Mata ndani..