Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

1474542159027.png
 
Nani also said he was 'surprised' that Paul Pogba rejoined the Reds this summer but feels he will become a 'star'.
He added: "I'm a bit surprised that Pogba went back. A lot of clubs wanted him, there were rumours that other clubs would get him. When he went back I was happy. He knows the club well and will be a star at the club."
 
Yani humu unakuta jamaa thread haimuhusu yeye kazi kupondea tu na unakuta thread ya team yake haina cha kuchangia sijui.....ila karibu mkuu maana hapa Jamvini thread ya Manchester United ndo talk of town so shoboka tu we whoever unajiita opponent tunajua Pogba is a big deal ndomana hatusikii hao wengine.
 
Yani humu unakuta jamaa thread haimuhusu yeye kazi kupondea tu na unakuta thread ya team yake haina cha kuchangia sijui.....ila karibu mkuu maana hapa Jamvini thread ya Manchester United ndo talk of town so shoboka tu we whoever unajiita opponent tunajua Pogba is a big deal ndomana hatusikii hao wengine.
pouvuuu pouvuuuu pouvuuuu
 
MAN UTD Vs MAN CITY

Manchester United inapita Kwenye nyakati ngumu na za kutia simanzi mno.. Mithili ya yule mwanamke wa Kwenye BIBLIA aliyetokwa na damu kwa miaka 18 mfululizo teh teh teh...

Wakati Guardiola yupo Kwenye ubora wake akimtetemesha Ferguson mikono... Mashabiki wengi wa Man u walikuwa wanasema anabebwa na XAVI MESSI NA INIESTA... Wakaomba aje siku moja afundishe England tumpime..
(WALIFIKILI GUARDIOLA NI BOXER..)

Leo Guardiola yupo England kashinda mechi 8 mfululizo za michuano tofauti.. Na man u ameshawapa onyo tayari kuwa yeye si mtu wa mchezo mchezo.. Yeye Guardiola hajaribiwi..

vita ya Mourinho na Guardiola.. Huwa inakuwa ni vita kati ya msema hovyo na Mwalimu wa mpira.. Na mwisho wa siku mwalimu wa mpira ndiye huwa anaibuka mshindi. ''
 
MAN UTD Vs MAN CITY

Manchester United inapita Kwenye nyakati ngumu na za kutia simanzi mno.. Mithili ya yule mwanamke wa Kwenye BIBLIA aliyetokwa na damu kwa miaka 18 mfululizo teh teh teh...

Wakati Guardiola yupo Kwenye ubora wake akimtetemesha Ferguson mikono... Mashabiki wengi wa Man u walikuwa wanasema anabebwa na XAVI MESSI NA INIESTA... Wakaomba aje siku moja afundishe England tumpime..
(WALIFIKILI GUARDIOLA NI BOXER..)

Leo Guardiola yupo England kashinda mechi 8 mfululizo za michuano tofauti.. Na man u ameshawapa onyo tayari kuwa yeye si mtu wa mchezo mchezo.. Yeye Guardiola hajaribiwi..

vita ya Mourinho na Guardiola.. Huwa inakuwa ni vita kati ya msema hovyo na Mwalimu wa mpira.. Na mwisho wa siku mwalimu wa mpira ndiye huwa anaibuka mshindi. ''
1474568727066.png
 
Back
Top Bottom