Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ratiba imetoka tunakipiga na man city....tunamalizia hasira zetu hapa
1474493002761.jpg
 
Ni wakat kuafaka mou ajue kuwa timu wa kuiharibu ni yy au mafanikio ni yy iko wazi kuwa anahitajika herrera/carrick hata morgan na pogba maana kama rumba litachezwa sana kwenye box option ya kupiga ipo na naona ndio style wamekuja nayo herrera na carrick hii inanikumbusha akina scholes,keane na butt
 
Good to be back to winning ways....[HASHTAG]#GGMU[/HASHTAG]
Wapanga ratiba wanawapenda sana na wanawapendelea Man United. Kwa nini?
Wamewapa nafasi Man United ya kuwaadhibu Man City tarehe 25.10
 
Halafu sijui kwa nini mashabik wa arsenal wanahangaika na manchester united xhaka wanamfananisha na pogba iwob nae walikuwa mbio na rashfod saiv kimya wameanza na hererra kizur wale wachezaji wote wanaowaletea shobo huwa wanawatungua bado pogba ngoja niweke akiba hapa
 
Back
Top Bottom