RRONDO Platinum Member Joined Jan 3, 2010 Posts 57,801 Reaction score 129,644 Sep 18, 2016 #50,341 Hii game ni ngumu kwa huyu refa.
dhk1 JF-Expert Member Joined Jul 22, 2013 Posts 958 Reaction score 590 Sep 18, 2016 #50,342 Shida iko wapi
Belo JF-Expert Member Joined Jun 11, 2007 Posts 12,913 Reaction score 10,263 Sep 18, 2016 #50,343 Marefa wa EPL ni vimeo sana
RJ-White JF-Expert Member Joined Nov 25, 2014 Posts 744 Reaction score 752 Sep 18, 2016 #50,344 Matial amefanyiwa faul ya wazi kabisa. Lakini referee kichwa maji
obadia90 JF-Expert Member Joined Nov 1, 2014 Posts 477 Reaction score 710 Sep 18, 2016 #50,345 man u hawachz kwa plan za kupata ushindi kbsa
RRONDO Platinum Member Joined Jan 3, 2010 Posts 57,801 Reaction score 129,644 Sep 18, 2016 #50,346 Rooney inabidi apumzike sasa. Timu haiwezi kuwabeba Rooney na Ibra. Mbaya zaidi Rooney anacheza nafasi ambayo inabidi awe anakimbia sana.
Rooney inabidi apumzike sasa. Timu haiwezi kuwabeba Rooney na Ibra. Mbaya zaidi Rooney anacheza nafasi ambayo inabidi awe anakimbia sana.
Philipo D. Ruzige JF-Expert Member Joined Sep 25, 2015 Posts 9,429 Reaction score 27,123 Sep 18, 2016 #50,347 Mmmh ,we r in deep trouble. ..
makosahittu Member Joined Aug 31, 2016 Posts 17 Reaction score 14 Sep 18, 2016 #50,348 HAMIENI TIMU ZA MAANA KAMA BARCELONA,ATLETICO MADRID, BERYAN, R.MADRID , MAN CITY NA JUVE
SHERRIF ARPAIO JF-Expert Member Joined Aug 25, 2010 Posts 9,539 Reaction score 5,923 Sep 18, 2016 #50,349 Sijaelewa kwa nini Felaini anaanza Hakuna mid nyingine?
platozoom JF-Expert Member Joined Jan 24, 2012 Posts 9,548 Reaction score 11,517 Sep 18, 2016 #50,350 RRONDO said: Hii game ni ngumu kwa huyu refa. Click to expand... Kwa hiyo post yako nimekuonea huruma. Yaani leo shabiki wa Man anamlaumu refa hata kabla ya break!!! Hivi field Marshall Moorino akivurunda mtatoa wapi kocha???!! Julio?
RRONDO said: Hii game ni ngumu kwa huyu refa. Click to expand... Kwa hiyo post yako nimekuonea huruma. Yaani leo shabiki wa Man anamlaumu refa hata kabla ya break!!! Hivi field Marshall Moorino akivurunda mtatoa wapi kocha???!! Julio?
Belo JF-Expert Member Joined Jun 11, 2007 Posts 12,913 Reaction score 10,263 Sep 18, 2016 #50,351 makosahittu said: HAMIENI TIMU ZA MAANA KAMA BARCELONA,ATLETICO MADRID, BERYAN, R.MADRID , MAN CITY NA JUVE Click to expand... Endelea kuinjoy kwenye hizo timu zako
makosahittu said: HAMIENI TIMU ZA MAANA KAMA BARCELONA,ATLETICO MADRID, BERYAN, R.MADRID , MAN CITY NA JUVE Click to expand... Endelea kuinjoy kwenye hizo timu zako
Philipo D. Ruzige JF-Expert Member Joined Sep 25, 2015 Posts 9,429 Reaction score 27,123 Sep 18, 2016 #50,352 makosahittu said: HAMIENI TIMU ZA MAANA KAMA BARCELONA,ATLETICO MADRID, BERYAN, R.MADRID , MAN CITY NA JUVE Click to expand... Ww hama tu. . sisi tuache kama tulivyo. . kuna tofauti kati ya kuwa fan na kuwa die hard fan, mie ni die hard fan
makosahittu said: HAMIENI TIMU ZA MAANA KAMA BARCELONA,ATLETICO MADRID, BERYAN, R.MADRID , MAN CITY NA JUVE Click to expand... Ww hama tu. . sisi tuache kama tulivyo. . kuna tofauti kati ya kuwa fan na kuwa die hard fan, mie ni die hard fan
Belo JF-Expert Member Joined Jun 11, 2007 Posts 12,913 Reaction score 10,263 Sep 18, 2016 #50,353 SHERRIF ARPAIO said: Sijaelewa kwa nini Felaini anaanza Hakuna mid nyingine? Click to expand... Fellaini ndio best player wa United kwenye Midfield
SHERRIF ARPAIO said: Sijaelewa kwa nini Felaini anaanza Hakuna mid nyingine? Click to expand... Fellaini ndio best player wa United kwenye Midfield
Keyboard_Warrior JF-Expert Member Joined Oct 10, 2015 Posts 6,101 Reaction score 10,463 Sep 18, 2016 #50,354
bhachu JF-Expert Member Joined Jul 29, 2015 Posts 8,735 Reaction score 10,360 Sep 18, 2016 #50,355 Ngamiani said: tangu morinyo achukue timu sina furaha kabisa Click to expand... Acha uongo, huyo si ndo mlikua mnashupalia the special one
Ngamiani said: tangu morinyo achukue timu sina furaha kabisa Click to expand... Acha uongo, huyo si ndo mlikua mnashupalia the special one
bhachu JF-Expert Member Joined Jul 29, 2015 Posts 8,735 Reaction score 10,360 Sep 18, 2016 #50,356 RRONDO said: Hii game ni ngumu kwa huyu refa. Click to expand... Basi chukua Filimbi wewe uwe refa
bhachu JF-Expert Member Joined Jul 29, 2015 Posts 8,735 Reaction score 10,360 Sep 18, 2016 #50,357 Sisimizi Shujaa said: wachezaji hawakabi wala hawashambulii Click to expand... Hahahahaha bas ingia wewe ukakabe
Sisimizi Shujaa said: wachezaji hawakabi wala hawashambulii Click to expand... Hahahahaha bas ingia wewe ukakabe
bhachu JF-Expert Member Joined Jul 29, 2015 Posts 8,735 Reaction score 10,360 Sep 18, 2016 #50,358 Kumbisalehe said: Matial amefanyiwa faul ya wazi kabisa. Lakini referee kichwa maji Click to expand... Basi chukua filimbi wewe
Kumbisalehe said: Matial amefanyiwa faul ya wazi kabisa. Lakini referee kichwa maji Click to expand... Basi chukua filimbi wewe
mtoto1980 JF-Expert Member Joined Jul 28, 2015 Posts 534 Reaction score 526 Sep 18, 2016 #50,359 Man United for life
lil wayne JF-Expert Member Joined Apr 15, 2016 Posts 992 Reaction score 905 Sep 18, 2016 #50,360 Msiwe wabishi hamieni Man City, au Arsenal... Ili muanze kuzoea soka safi...... Huku hakuna kubutua butua!
Msiwe wabishi hamieni Man City, au Arsenal... Ili muanze kuzoea soka safi...... Huku hakuna kubutua butua!