NAANGALIA MAPUNGUFU YETU HAPA KATIKA GAME YA MAN CITY KUPITIA DSTV INAONEKANA KWAMBA TATIZO NI PAUL POGBA.. ALIKUWA ANAPANDA SANA KIASI KWAMBA KATIKAT PANABAKI WAZI NA KUMFANYA KELVIN DE BRUYNE KUTAMBA MNO... MTU KAMA CARRICK ANAHITAJIKA PALE KATI KUMFANYA POGBA AWE HURU ZAIDI... MAANA BILA HIVYO TUKIKUTANA NA TEAM KUBWA TUTAUMIA SANA...
Wings ziko poa, in short ni kikosi cha kushambulia lakin wasi wasi wangu hakuna mpiga basi kwenye hicho kikosi, ningependa sana kumuona either carrick au blind wacheze kama DM, all in all kikosi ni kizuri ngoja tuone
Wings ziko poa, in short ni kikosi cha kushambulia lakin wasi wasi wangu hakuna mpiga basi kwenye hicho kikosi, ningependa sana kumuona either carrick au blind wacheze kama DM, all in all kikosi ni kizuri ngoja tuone
NAANGALIA MAPUNGUFU YETU HAPA KATIKA GAME YA MAN CITY KUPITIA DSTV INAONEKANA KWAMBA TATIZO NI PAUL POGBA.. ALIKUWA ANAPANDA SANA KIASI KWAMBA KATIKAT PANABAKI WAZI NA KUMFANYA KELVIN DE BRUYNE KUTAMBA MNO... MTU KAMA CARRICK ANAHITAJIKA PALE KATI KUMFANYA POGBA AWE HURU ZAIDI... MAANA BILA HIVYO TUKIKUTANA NA TEAM KUBWA TUTAUMIA SANA...
Poa pia ndugu. Mi nipo kimara hapa najisogeza kwenye banda letu linaitwa ManFree, lina chemba zinanuka ile mbayaaaa sema ndo lina ushabiki mkubwa ile mbayaaaa