Bukayo jr
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 2,782
- 1,647
We karibu kule jukwaaniMbona umeitoa kiwasiwasihumuamini Wenger?
We karibu kule jukwaaniMbona umeitoa kiwasiwasihumuamini Wenger?
Heshima yako Chifu...✋✋Doh! Basi sawa umesikika loserfool...
Ha ha! "Balantanda is always here/around"Heshima yako Chifu...✋✋
Sema ukweli Mourinho alikosea kubadili timu kwa kuwaacha hao wawili...anyways, msimu bado mrefu.Martial na mata wana namba pale
Unaweza kuwa sawa...lakini kwa biashara ya jezi yake iliyofanyika hadi sasa, United wanapaswa waiongezee pesa Juventus.Poleni sana watani
Nimeamini Pep ni kocha mzuri zaidi Ya Jose
Pogba hastahili kuuzwa hata $50 million and he's way overrated
Poleni sana watani
Nimeamini Pep ni kocha mzuri zaidi Ya Jose
Pogba hastahili kuuzwa hata $50 million and he's way overrated
Yani hapa nasimamia harusi mood yote imeisha.Nimeotea watatoka droo..
Kesho alfajiri.....Mechi saa ngapi?
Acha unafkiTeh teh teh teh teh teh! Niliwaona Watu Wa Ajabu Sana Pale Mulipofurahi Kuwa Morinho Kateuliwa Kocha Wenu!!
Kwasisi Tunayemjua Mourinho Tulijua Wazi Haitafika Xmass Bali Mutaomba Atimuliwe!
Leo Mushakula 2 hizo...
Man City You Have Made My Day! Congrat.....
Yani wewe furaha yako mpaka jirani awe na majonzi.....Teh teh teh teh teh teh! Niliwaona Watu Wa Ajabu Sana Pale Mulipofurahi Kuwa Morinho Kateuliwa Kocha Wenu!!
Kwasisi Tunayemjua Mourinho Tulijua Wazi Haitafika Xmass Bali Mutaomba Atimuliwe!
Leo Mushakula 2 hizo...
Man City You Have Made My Day! Congrat.....
Hii pole yako isingeambatana na maneno mengine ingekuwa poa sana.....Chaliiiiii...there goes Mourinho's 100% record. Poleni humu kwa kipigo cha kwanza msimu huu katika maeneo yenu ya kujidai AKA uwanja wa nyumbani.
Pole mama. Ila cha ajabu sijaumia roho.Hii pole yako isingeambatana na maneno mengine ingekuwa poa sana.....
Unaweza kuwa sawa...lakini kwa biashara ya jezi yake iliyofanyika hadi sasa, United wanapaswa waiongezee pesa Juventus.
Wewe uliandika kinazi, nami nikakujibu kinazi. Huwezi ku-judge value ya mchezaji kwenye ligi ya games 38 kwa kutumia game 1.Tunataka matokeo na Si mauzo ya jersey
Hata Kaseja hadi leo jersey yake unauzika