Eqlypz
JF-Expert Member
- May 24, 2009
- 4,065
- 651
Khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeee Bahasha zinafanya kazi khe khe kheeeeeee
Kosa lenu ni kutoa Bahasha mmenunua marefa karibu wote yule refa wa leo alijua jasho litamtoka baada ya kuona mko two down hivyo akaanza kuwabeba. Kama unavyojua kwenye soka small decisions zinasaidia sana kwenye kushinda mechi hasa kwenye EPL ambayo iko mfukoni mwenu. Kama ulivyoona Vidic alikuwa ni last defender alikuwa aone red kabla ya halftime na penalty aliyowanyima West ham ..... ....
Wewe si ulisema uwa huangalii mechi za Man Utd sasa umejuaje kama tumebebwa...? Hivi wewe kwa akili yako ulitegemea Demba Ba angeufikia ule mpira? Give me a break!! West Ham got what they deserved ukiangalia statistics West Ham walikuwa nyuma kwenye kila kitu heck mbali ya penalty zao mbili hawakumsumbua kipa wangu kabisa.
This talk of bahasha is getting old pretty fast.