Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

GGMU

Glory glory Man united,
Glory glory Man united,
Glory glory Man united,
As the reds go marching on on on!

Just like the busby babes in days gone by,
We'll keep the red flags flying high,
Your gonna see us all from far and wide,
Your gonna hear the masses sing with pride.
United, Man united,

We're the boys in red and we're on our way to
Wembley!
Wembley, Wembley,
We're the famous Man united and we're going to
Wembley,
Wembley, Wembley,
We're the famous Man united and we're going to
Wembley
In Seventy-Seven it was Docherty
Atkinson will make it Eighty-Three
And everyone will know just who we are,
They'll be singing que sera sera
United, Man united,

We're the boys in red and we're on our way to
Wembley!
Wembley, Wembley,
We're the famous Man united and we're going to
Wembley,
Wembley, Wembley,
We're the famous Man united and we're going to
Wembley

Glory glory Man united,
Glory glory Man united,
Glory glory Man united,
As the reds go marching on on on!
Glory glory Man united,
Glory glory Man united,
Glory glory Man united,
As the reds go marching on on on!
Glory glory Man united,
Glory glory Man united,
Glory glory Man united,
As the reds go marching on on on!
Cc cute b wanguuuuu weeeeeee nimekumiss jamani ukujeeeeeeeeeeeeee!!!!!
 
1471803939897.jpg
 
Namimi inabidi nitafute sasa jezi ya Man U mana ya mwanzo niliigawa baada ya kuona mambo sivyo ndivyo.
Mi kawaida kila msimu najitahidi kutafuta mpya lkn tangu aingie Moyes sikununua tena.......kuvaa ilikuwa nzito km turubai
Hii ndo jezi yangu ya mwisho kununua
1471850390537.jpg

Tangu hapo nikapunguza kwenda vibanda umiza na kuangalia tu kwenye liveztream.....timu ilikuwa ovyo kuliko Mbao FC
Unaweza ongoza 3 lkn zilirudi au kufungwa
Yaani ulikuwa noma ya vipindi
Lakini sasa lazima nitafute red & white nitambie kitaa
 
Mi kawaida kila msimu najitahidi kutafuta mpya lkn tangu aingie Moyes sikununua tena.......kuvaa ilikuwa nzito km turubai
Hii ndo jezi yangu ya mwisho kununuaView attachment 385600
Tangu hapo nikapunguza kwenda vibanda umiza na kuangalia tu kwenye liveztream.....timu ilikuwa ovyo kuliko Mbao FC
Unaweza ongoza 3 lkn zilirudi au kufungwa
Yaani ulikuwa noma ya vipindi
Lakini sasa lazima nitafute red & white nitambie kitaa
kama mie nilikuwa naangalizia livestream tu mana unapoteza muda kwenda kuangalia unaambulia majonzi........hivi jenzi nzuri nitaipata wapi..........
 
kama mie nilikuwa naangalizia livestream tu mana unapoteza muda kwenda kuangalia unaambulia majonzi........hivi jenzi nzuri nitaipata wapi..........
Zipo K/koo madukani mfano pale Big Bon kwa mbele.....ukipata original inadumu km niliyoonyesha ina miaka kibao No mpauko, No kufutika
Ht Mlimani City unaweza kupata
 
Zipo K/koo madukani mfano pale Big Bon kwa mbele.....ukipata original inadumu km niliyoonyesha ina miaka kibao No mpauko, No kufutika
Ht Mlimani City unaweza kupata
Bei gani?
 
Zipo K/koo madukani mfano pale Big Bon kwa mbele.....ukipata original inadumu km niliyoonyesha ina miaka kibao No mpauko, No kufutika
Ht Mlimani City unaweza kupata
ooh asante...ila sie vimbaumbau size zetu hakuna yani mpaka tuibane tshirt yenyewe.
 
Bei gani?

Bei zinatofautiana mkuu, inategemea na original ya namna gani, kuna original ya China, na kuna zile za moja kwa moja kutoka UK.

Last time Mlimani City kulikuwa na duka la vifaa vya michezo walikuwa wanauza Tshs 250,000 jezi original (kwa wakubwa na watoto), naona kwa sasa hawapo tena pale, sijui hata walikohamia.

Hizo za BigBon inaweza kuwa around 50,000.
 
Bei zinatofautiana mkuu, inategemea na original ya namna gani, kuna original ya China, na kuna zile za moja kwa moja kutoka UK.

Last time Mlimani City kulikuwa na duka la vifaa vya michezo walikuwa wanauza Tshs 250,000 jezi original (kwa wakubwa na watoto), naona kwa sasa hawapo tena pale, sijui hata walikohamia.

Hizo za BigBon inaweza kuwa around 50,000.
Nilitaka tu kujua hio original ya kariakoo bei gani? Mimi ninayo nimeagiza UK £59.99
 
Bei zinatofautiana mkuu, inategemea na original ya namna gani, kuna original ya China, na kuna zile za moja kwa moja kutoka UK.

Last time Mlimani City kulikuwa na duka la vifaa vya michezo walikuwa wanauza Tshs 250,000 jezi original (kwa wakubwa na watoto), naona kwa sasa hawapo tena pale, sijui hata walikohamia.

Hizo za BigBon inaweza kuwa around 50,000.
Upo sahihi mkuu
 
Ni muda nimenunua pia hapo BigBon, enzi za Suarez na Liverpool.

Kipindi hiko bei ilikuwa ni hiyo 50,000/-, sina uhakika kama ndo bei bado au zimepanda.
Maana raha ya jezi timu yako iwe inashinda.....baada ya vipondo kuanza nilisusa kutafuta jezi
Bei lazima itakuwa imepanda 7bu mfumuko wa bei
 
Back
Top Bottom