hivi humu ndani si kuna jukwaa la chelsea arsenal man city liverpool na mengineyo sasa huo ushaur mnaotupa kwa ajili ya man utd c mpeleke kwenye team zenu mkajadiliane sio kila siku mnasajili wazee mara mou ana mipango ya muda mfupi mara pogba doesnt worth that amount....
mna mengi ya kuzungumzia team zenu mtuache tujadil team yetu na jukwaa letu
Alikuwa de gea na sasa ni Bailly kuwa mchezaji bora wa mechi mfululizo. Ili man utd kubalance inahitaji man of the match wawe viungo na washambuliaji zaidi. Ni mtizamo tu wakuu.
hivi humu ndani si kuna jukwaa la chelsea arsenal man city liverpool na mengineyo sasa huo ushaur mnaotupa kwa ajili ya man utd c mpeleke kwenye team zenu mkajadiliane sio kila siku mnasajili wazee mara mou ana mipango ya muda mfupi mara pogba doesnt worth that amount....
mna mengi ya kuzungumzia team zenu mtuache tujadil team yetu na jukwaa letu