Manchester United (Red Devils) | Special Thread

hivi humu ndani si kuna jukwaa la chelsea arsenal man city liverpool na mengineyo sasa huo ushaur mnaotupa kwa ajili ya man utd c mpeleke kwenye team zenu mkajadiliane sio kila siku mnasajili wazee mara mou ana mipango ya muda mfupi mara pogba doesnt worth that amount....
mna mengi ya kuzungumzia team zenu mtuache tujadil team yetu na jukwaa letu
 
Alikuwa de gea na sasa ni Bailly kuwa mchezaji bora wa mechi mfululizo. Ili man utd kubalance inahitaji man of the match wawe viungo na washambuliaji zaidi. Ni mtizamo tu wakuu.
Hatua moja kuelekea lengo.
Kuna dalili ya wachezaji wengi kuwa MOTM.
 
Wacha tuchukiwe kwa mara nyingine, maana tunavyokuwa vizuri ni kuchapa tu, hakuna huruma.
 
Kweli kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…