rubaman
JF-Expert Member
- Sep 10, 2011
- 4,983
- 3,084
Mwizi kivipi? Unataka asilipwe haki yake kama mnavyofanya huko Bongo? kumbuka hii ni biashara jamaa ni mfanyabiashara/kazi hawezi kufanya kazi yake bure kwa vile eti ni Manchester United. Manchester united means nothing to his life. Wabongo mmeshazoweshwa uzembe zembe wa kufikiria.Hivi huyu mino raiola mbona mwizi hivi....anapindishapindisha mambo...anataka wamlipe pesa ndefu hivo kwanin...mara 20 mara 10 mil uero...anazingua snaa....
