Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

unatia huruma kwani walioshinda friend mech wamenyakua makombe ya ligi? Chuki mbaya sana hadi kwenye friend mech halafu bado usajili unaendelea nyie ndo mnaoua soka la tz kwa ushabik wa hovyo.
Arsenal fans
uploadfromtaptalk1469254577219.jpeg
 
unatia huruma kwani walioshinda friend mech wamenyakua makombe ya ligi? Chuki mbaya sana hadi kwenye friend mech halafu bado usajili unaendelea nyie ndo mnaoua soka la tz kwa ushabik wa hovyo.
Ipo ivi ata United jana wangeshinda ile mechi still wangesema ni mechi ya kirafiki tu timu yetu ni mbovu, achana nao.
 
Habari nyingi ktk magazeti ya hispania na uingereza zinaonyesha Man U na Real Madrid wapo ktk mazungumzo ya kuuziana James Rodriguez. Do you think he will be perfect fit into our team and the epl league?
Ndiyo

Na mm nakuulza depay au James unachagua yupi?
 
Back
Top Bottom