Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kwa kweli Jose mwenyew ndo ata amua

Ila mata ana kaz ya ku mprove jose wrong

Ubaya ni kuwa aliondoka kwa technical reasons na ndo mimi na wait apa movie hiii
Mata anaweza akawa mchezaji wa kwanza kabisa kuondoka UNITED summer hii.

But lets wait and see..
 
Yeah, but Conte anaweza akapata shida kidogp kum-shawishi bwana mdogo abaki (PSG).

But kuna uwezekano mkubwa sana wa Willian kuja United (i can feel it)


Hivi Future ya Mata iko vipi Aisee?? unamuona akiwepo united next season?
Future ya mata ni uncertain bro, lakni sioni Future yake ot

Willian nitampokea kwa mikono miwili but he is 28 kwa dau linalosemwa la 60 hapana aisee tunaweza kaleta winger mzuri and young kwa hilo dau
 
Future ya mata ni uncertain bro, lakni sioni Future yake ot

Willian nitampokea kwa mikono miwili but he is 28 kwa dau linalosemwa la 60 hapana aisee tunaweza kaleta winger mzuri and young kwa hilo dau
Kumsajili Willian ni mara kumi ya Mata,kama unamtoa Mata lazima ulete wachezaji wa kueleweka I think Griezman ni best option
Binafsi sioni kama Chelsea wana mchezaji anayetufaa labda Azpeculeta na sidhani kama Jose atasajili mchezaji kutoka Chelsea
 
Kumsajili Willian ni mara kumi ya Mata,kama unamtoa Mata lazima ulete wachezaji wa kueleweka I think Griezman ni best option
Binafsi sioni kama Chelsea wana mchezaji anayetufaa labda Azpeculeta na sidhani kama Jose atasajili mchezaji kutoka Chelsea
Hii ishu ya Willian ni jamie jackson anaizungumzia sana, sijaona sehemu nyingine yoyote zaidi jamie jackson na the sun, nadhani wanaangalia sana uhusiano walionao kwa mourinho,

Kuna dogo anaitwa leloy sane yupo shalke 04 yupo vizuri sana yule dogo ningefulahi sana kumuona amevaa uzi mwekundu
 
Hii ishu ya Willian ni jamie jackson anaizungumzia sana, sijaona sehemu nyingine yoyote zaidi jamie jackson na the sun, nadhani wanaangalia sana uhusiano walionao kwa mourinho,

Kuna dogo anaitwa leloy sane yupo shalke 04 yupo vizuri sana yule dogo ningefulahi sana kumuona amevaa uzi mwekundu
Sidhani kama atafit kwenye mfumo wa Jose,Guardiola anamtaka na asipouzwa sasa baada ya msimu ujao Bayern hawatamuacha.So far tuna vijana wengi (Martial,Depay,Rashford,Shaw,Valera,Fonsu Mensah,CBJ) sidhani kama Jose atasajili wengine
 
Mourinho arrives at Old Trafford with a point to prove and, as a Liverpool supporter, it worries me! It should also worry the rest of the Premier League — he is coming back to win,” Carragher told Daily Mail.

Chukua hiyo wapinzani....
 
M.Rashford has renewed his contract. He will now earn £20,000 a week. Rashford's new contract is at least four years long
Cameron Borthwick-Jackson is also close to signing a new contract with Manchester United
 
M.Rashford has renewed his contract. He will now earn £20,000 a week. Rashford's new contract is at least four years long
Cameron Borthwick-Jackson is also close to signing a new contract with Manchester United
Habari njema sana hizi, michael carick nae kapewa mwaka mmoja bado Mensah
 
Habari njema sana hizi, michael carick nae kapewa mwaka mmoja bado Mensah
I think Jose lazima alipewa condition kuhusu hawa chipukizi,wengi wanasema Mata ndio ana hali mbaya lakini nadhani Bastian,Fellaini,Young,Phil Jones hawa ndio wako kwenye hali mbaya zaidi. Msimu huu ulaya timu nyingi sana zitafanya usajili wa wachezaji wengi
 
Morinho hatashinda EPL na United labda wamsubirie kwa miaka 3
 
I think Jose lazima alipewa condition kuhusu hawa chipukizi,wengi wanasema Mata ndio ana hali mbaya lakini nadhani Bastian,Fellaini,Young,Phil Jones hawa ndio wako kwenye hali mbaya zaidi. Msimu huu ulaya timu nyingi sana zitafanya usajili wa wachezaji wengi
Yah nadhani hivo mkuu, ila itakua poa asiishie kuwasainisha mikataba awape na nafasi uwanjani, mimi naamini kuwa mchezaji yoyote akionesha uwezo hata kama ni Kinda chance anapata

Kuna hii article toka times ni worth reading japo ni ndefu kidogo

Mourinho’s back: now for something special
 
Back
Top Bottom