Bailly5
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 16,495
- 35,288
Hahahah tumpenda wenyewe au sio![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Utakoma kulinga, wenzako tuna mchukua hivo hvo
Hahahah tumpenda wenyewe au sio![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Utakoma kulinga, wenzako tuna mchukua hivo hvo
HahahaHahahah tumpenda wenyewe au sio

Hahahahah wewe unafikiri Mourinho ataleta kile tunachotaka?Hahaha
Kabsaaa
Kwanza ye mwenyewe ana penda kuja, maana alvo skia babu SAF kamchagua Moyes ndo amrithi naskia eti ali![]()
![]()
![]()
![]()
Hahaha, natagemea hvoHahahahah wewe unafikiri Mourinho ataleta kile tunachotaka?
Hahaha, natagemea hvo
Naamin wote tunataka![]()
![]()
![]()
Afanye afanyavo ahakikishe tuna beba

Mouthrinho atawajengea misingi imara? LMAO! Hajawahi kujenga misingi imara. 10 Reasons Mourinho won't do well at Man Utd
Kwa maelezo hayo upo sawa, and Mourinho is just good at that.We are sick and tired with coaches ambao ni wazee wa transitional period they keep saying that kila msimu and we are struggling to reach 4th place miaka miwili no philosophy no first 11 inayoeleweka tunababisha mpk usajili...we need someone who will come in and say I wanna win a league and not I am here to build a team we are in transition period....that is not Manchester's way tulishapita kipindi hicho 1989/90 season...we need a team by its look tu unajua they are in for trophies, team yenye wachezaji wenye njaa ya mafanikio, wako tayari kufia team, team ambayo ikikutana na team ndogo mtu anakula saba...and the right person for that job is MOU period !!
And thts why we r takin himKwa maelezo hayo upo sawa, and Mourinho is just good at that.
Nimejikuta naangalia clips za zamani kuna moja ya mwaka 2001 tunampa arsenal 6 kwa moja wale wanaume wa shoka teddy,ole gunah,Yorke pale kati Keane ggigs scholes na bekham nimekumbuka mbaliWe are sick and tired with coaches ambao ni wazee wa transitional period they keep saying that kila msimu and we are struggling to reach 4th place miaka miwili no philosophy no first 11 inayoeleweka tunababisha mpk usajili...we need someone who will come in and say I wanna win a league and not I am here to build a team we are in transition period....that is not Manchester's way tulishapita kipindi hicho 1989/90 season...we need a team by its look tu unajua they are in for trophies, team yenye wachezaji wenye njaa ya mafanikio, wako tayari kufia team, team ambayo ikikutana na team ndogo mtu anakula saba...and the right person for that job is MOU period !!
My motto next season..... #AbsolutelyimissPMcup...Nimejikuta naangalia clips za zamani kuna moja ya mwaka 2001 tunampa arsenal 6 kwa moja wale wanaume wa shoka teddy,ole gunah,Yorke pale kati Keane ggigs scholes na bekham nimekumbuka mbali

Mkuu hayo ni mawazo yake na hayatupi jibu la moja kwa moja, tatizo langu hapa ni ku-rely on his thoughts je za kwako zipo wapi kama mpenzi, mfuatiliaji na mchambuzi pia wa soka, yeye kawaza hivyo lakini haitupi the final conclusion kwamba ipo hivyo kama sababu kumi mourihno itamshinda OT,Hivi huyo aliyezichambua hizo sababu naye ni mbongo? Kiongozi umekosa hoja. Ni kweli zimeandikwa na binadamu, lakini football pundits wanatofautiana pia, ndio maana tunapata habari toka kwa vyanzo tofauti.
Ungesema ni hoja gani kati ya hizo kumi haina mashiko ningekuelewa.
![]()
![]()
![]()
![]()
kumbe nalo linahesabika? Hongereni kaka mlishafanya Tayari parade?
Shekh mi ni moja ya watu wanaoelewa sana kazi ya mou, soon itakapokua confirmed I think I'll be over the moon, ilifika kipindi hadi nikamkumbuka Moyes![]()
![]()
![]()
![]()


mtafangua pazia la ligi na Lei najua mkichukua mtakua hapa tena kutangaza ufalme kama LVG na pre-season success,tuacheni unafiki kidogo kama mnavyotamba na FA kila social networks wakati mlikua mnaponda basi mtarudi na ngao ya hisani.Record ya Mou against AW nadhan unaijua...
Sasa tutanza kujihakikishia point zetu sita kwa tawi letu la zamani...
Next Season
![]()
Nakumbuka FA tulivyobeba back to back mliongoza kwa maneno ya kwenye kanga kua ni kombe la kuku ila leo mmesahau na mnatangaza ubora wa FA mpaka naishia kucheka.
Ngao ya Hisani pia ndio yalikua mafanikio ya Moyes nakumbuka na mlipiga kelele kua mmeanza vema na picha zikasambaa mkiwa mmebeba ila akichukua Arsenal mna-dissmtafangua pazia la ligi na Lei najua mkichukua mtakua hapa tena kutangaza ufalme kama LVG na pre-season success,tuacheni unafiki kidogo kama mnavyotamba na FA kila social networks wakati mlikua mnaponda basi mtarudi na ngao ya hisani.
Kwangu mimi naona Mauricio Puchettino wa spurs atawazidi hao wote hapo next season. Ana kikosi bora kabisa. Timu imekaa pamoja kwa muda mrefu hivyo wameshaelewa mbinu za coach wao. Wanauwezo wa kuongeza world class players tofauti na united na chelsea. Wao watapata shida kodogo kwa kuwa hawashiriki ucl.wote hapo wanacheka ila anayecheka sana ndio atachukua kombe next season
Kwangu mimi naona Mauricio Puchettino wa spurs atawazidi hao wote hapo next season. Ana kikosi bora kabisa. Timu imekaa pamoja kwa muda mrefu hivyo wameshaelewa mbinu za coach wao. Wanauwezo wa kuongeza world class players tofauti na united na chelsea. Wao watapata shida kodogo kwa kuwa hawashiriki ucl.