I was born to LOVE Manchester utd, HATE looserfool and RESPECT Madrid.
#thankssevilla
MataaaaaPuncheoooooooooooooooooooonnnnnnnnnnnnn
Don't give them false hopes...unless you are just being disingenuous.Everlenk kuja hapa mtani,upooo mbona umepoa hivyo wakati kombe linaenda kwenu .....
Yaani hapa nimebana inakaribia kuvimba acha kabisaeverlenk Hongereni humu nilidhani kombe mbuzi ndiyo limeshachoropoka lakini bado mnapumua. Kuna uwezekano wa kubana nonino leo kaa mkao wa kubana lol! Nimecheka kumuona kocha wa CP akidance baada ya wa kufunga, mpira raha sana aisee dah! Unaweza kabisa ukajisahau kwa furaha ya goli lakini kiboko yao ni yule Klopp.

Nipo mtani moja haikai mbili haisimami ,embu nipepeee uwiiiiii...........Everlenk kuja hapa mtani,upooo mbona umepoa hivyo wakati kombe linaenda kwenu .....