Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ligi ndo imeisha hivyo tulicho ambulia ndio hicho tujipange kwa msimu ujao shukran kwa fans wote wa united bila kumsahau dada yangu kipenzi everlenk
Asante sana my kaka kipenzi nawe nikupongeze kwa kuwa shabiki mwaminifu wa MUFC.......sasa kinakuja kile kipindi cha tetesi nisichokipenda mweeew......Mi maombi yangu tuanze kufanya usajili mapemaaa biashara asubuhi tuachane na mambo ya zima moto ..... ......wito wangu kwa family hii yote tusipoteee jamani tuwe tunakutana hapa tunapiga story tu hata kama za enzi zile
 
Asante sana my kaka kipenzi nawe nikupongeze kwa kuwa shabiki mwaminifu wa MUFC.......sasa kinakuja kile kipindi cha tetesi nisichokipenda mweeew......Mi maombi yangu tuanze kufanya usajili mapemaaa biashara asubuhi tuachane na mambo ya zima moto ..... ......wito wangu kwa family hii yote tusipoteee jamani tuwe tunakutana hapa tunapiga story tu hata kama za enzi zile


Tetesi, utakuta wachezaj kama 60 hvi wote man u inataka kuwasajili

Uwa nachekaga kweli

Everlenk, ukpata tetes tupiamo humu tuzione
 
Faraja ya msiba ni majirani kuja kuomboleza na wafiwa na msiba umetokea jana tu,tupo mpaka 40 hapa na kuna tetesi una mgonjwa mwingine mahatuti tunasubiri itakuaje pale Wembley kwa kifupi tupo sana na hivi ligi imeisha acha tusubiri hapa kibarazani kwako.
Hapa Hamna Msiba Tena ni kula bata tu,Pilau, biriani ,baga,majuicy,mawine, yaani ni chakula kwa kwenda mbele. .....no more tears.........#MUFCFAWINNERS
 


Tetesi, utakuta wachezaj kama 60 hvi wote man u inataka kuwasajili

Uwa nachekaga kweli

Everlenk, ukpata tetes tupiamo humu tuzione
Yaani wachezaji wote wakubwa utasikia eti tumewatokea na wamechomoa sipendi tetesi mimi basi tu
 
Yaani wachezaji wote wakubwa utasikia eti tumewatokea na wamechomoa sipendi tetesi mimi basi tu
Inatakiwa tuwe tunaziona

Kwa mfano niw tetesi bayo siipend et lvg hataondoka msimu ukiisha

Tetesi ina niboa hyo everlenk we acha tuu
 
Chelsea + Manchester United= The worst defending Champions of the recent times. Leicester City might do even better than them after next season by becoming even worst....
 
Asante sana my kaka kipenzi nawe nikupongeze kwa kuwa shabiki mwaminifu wa MUFC.......sasa kinakuja kile kipindi cha tetesi nisichokipenda mweeew......Mi maombi yangu tuanze kufanya usajili mapemaaa biashara asubuhi tuachane na mambo ya zima moto ..... ......wito wangu kwa family hii yote tusipoteee jamani tuwe tunakutana hapa tunapiga story tu hata kama za enzi zile
Swadakta maneno yako hapotei mtu hizo tetesi ni nzuri coz zinakupa waqt wa kumfuatilia huyo mchezaji sioni kama jambo baya ila utata unakuja mkimkosa halafu bonge la mchezaji.
 
Back
Top Bottom