Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,226
- 68,242
Umeanza kipenda blackburn lini?Unafiki upi?
Umeanza kipenda blackburn lini?Unafiki upi?
Hakuna aliyekuforce kuangalia mkuu...na wala sio lazima uangalieHii Fainali utafikiri tunaangalia Dr. Mwaka ndondo cup.
Acha nisubirie zangu DFB Cup Final
Hakuna aliyekuforce kuangalia mkuu...na wala sio lazima uangalie
Kulikuwa kuna haja gani ya kuandika ulichoandika si.ungekaa kimyaYeah ni kweli ndio maana nimesema nasubiri kucheki game inayofuatia hakuna aliyeniforce pia ni maamuzi yangu. Next tym si kila comment unatakiwa ureply zingine uta attract matusi tu kwa wenye roho nyepesi.
Msipanick brother..tupo humu kuhakikisha mnapanick mpewe red card tu sawa na Zaha anachomfanyia Rojo.Kulikuwa kuna haja gani ya kuandika ulichoandika si.ungekaa kimya
Jamii forum huru kwakila mtu kuandika anachotaka ila usivunje tu sheria za.humu wewe ni nani.mpaka.uniambie next time nisi-reply.
Dah acha nikatafute kitufe cha ignore listKulikuwa kuna haja gani ya kuandika ulichoandika si.ungekaa kimya
Jamii forum huru kwakila mtu kuandika anachotaka ila usivunje tu sheria za.humu wewe ni nani.mpaka.uniambie next time nisi-reply.
Lol...! nipaniki kisa nini..mkuu...watu kama hawa wapo wengi humu...Msipanick brother..tupo humu kuhakikisha mnapanick mpewe red card tu sawa na Zaha anachomfanyia Rojo.
Ndiyo na ndio lengo letu...upewe ban tu. Limechi lenyewe ni kama nlivosema kama kuangalia Coastal na Simba,,,sote tunajua Simba ana uwezo wa kushinda ila mchovu. Coastal anajitahidi sana kwa leo. Heri ningebaki kwangu tuLol...! nipaniki kisa nini..mkuu...watu kama hawa wapo wengi humu...
The 12th man!!!!Mark Clattenburg,
No doubtThe 12th man!!!!