DonDonald
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 2,542
- 2,741
Leo tuu. England mi nashabikia blackburn rovers
Duh Mkuu unatisha blackburn rovers...... kwni Utd wamekukosea nini mpaka huwapendi
Leo tuu. England mi nashabikia blackburn rovers
Blackburn Rover wanacheza daraja la ngapi..?Leo tuu. England mi nashabikia blackburn rovers
Blackburn Rover wanacheza daraja la ngapi..?
Mkuu usije ukaingia mitiniKiukweli kikosi chenu ni superior kwa Crystal ila i will not back down???go Bolasie...,go Zaha...go A. Pardew
hahaha jipe moyoWhy Gayle yuko bench. Man walitakiwa walale mapema sana. Hopefully yanick bolasie atatubeba leo
teh teh tehHaya sasa siku imewadia ya kumtumbua Van Gaal ngoja tumtafutie sababu leo asije sema tumemuonea labda atupe kikombe tunaweza kumfikiria kumuacha OT
Labda charge iishe...si unajua hizi smartphone kaka!!!Mkuu usije ukaingia mitini
Nilisahau hii team....Wako football championship league baada ya kushushwa daraja msimu wa 2011-2012. Msimu uliopita katika ligi yetu ya championship tumemaliza nafasi ya 15 tukiwa na Point 55. Hopefully next season tutarudi premier league
acha unafki mkuuLeo tuu. England mi nashabikia blackburn rovers
Yakubu aiyegbeni baada ya timu yetu kushuka daraja alitusaliti na kukimbilia china kuna timu inaitwa Guangzhou R&F kama sijakosea. Tangu kipindi hicho cha 2012 sijui tena alipotelea wapiNilisahau hii team....
Bado Yakubu anachezea hii team...namkumbuka huyu jamaa alivyotufanya pale OT mwaka 2011
Unafiki upi?acha unafki mkuu
Kwenye ukurasa wake wa twitter Rafael da Silva ( @orafa2) katuma best wishes kwa vijana
Once you are a red, you are always a red![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
sawa mkuu...dk ya 09 sasaLabda charge iishe...si unajua hizi smartphone kaka!!!