Kwa Arsenal labda mjifunge wenyewe othewise hawawezi kuwafunga
Michelle hamna mechi iliyoniuma kama jana hadi leo nimeamka mambo ya hayapo sawa..Imeshakuwa nuksi sasa,khaa!!..
omboleza nasi basi🙂)ha ha
Bado sija recover kutokana na kipigo kile.
eti jamani table ikoje? naomba mtubandikie table tuone
hivi kuna watu humu wamecheza competitive sport? Kilichotokea kwa nani ni kuwa adrenaline ilikuwa bado inakimbia mwilini, alipoona severity ya jeraha na kuanza kusikia maumivu ndipo alipoanguka chini.
Washabiki wa arsenal mlimcheka ramsey au denilson walivyofanyiwa dreadful foul au kwa kuwa ni mchezaji wa man utd basi he deserves anything that is thrown at him?
I love how the media is covering the whole incident kwa kweli (enter sarcasm), angekuwa amefanya mchezaji wa man utd hadi sepp blatter angeongea.
Mods tafadhali naomba mbadilishe hiyo picha (haivutii kabisa) juu kwenye mwanzo wa thread na muweke hii (chini). Ahsante.
Kweli kabisa mkuu hawawezi kitu khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee omgeza pilipili manga basi?
Pole sana hii nuksi aliyeanzisha alikuwa Chelsick .... ..khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeee Ooops Wolves ...... ..
Uta-recover tu hata Furngie naye amezila kila kitu khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeee nashangaa nyie bado mmo humu?
Kama unavyoona mkuu ... ... ...
Mkuu ndio matanga yenyewe haya wapo vijana wa kukufariji. Wale watoto wa Loser fools watukutu kweli hivi wanaweza kweli na akili zao timamu kumuumiza vile Nani? Hata kutembea alishindwa lakini aliweza kuruka ruka kama chura hadi alipofikia mauti yake kwa referee .... .... ... khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
BTW Mchezaji wenu wa ziada ndugu Clutterburgh anafikiria kujiuzulu khe khe khe kheeeeeeeeeeee baada ya kumwokoa Wine Romney ...khe khe kheeeeeeeeeeeeee
Eqlypz na wenzio,
Consider your request done.
Acha tu, inadibi washabiki wa Arsenal watuachi wakati tunadili na crisis yetu..wamejaa hao, subiri mechi yao na Barca!!..yani ama zao!!
ahsante sana mtani.Eqlypz na wenzio,
Consider your request done.
Acha tu, inadibi washabiki wa Arsenal watuachi wakati tunadili na crisis yetu..wamejaa hao, subiri mechi yao na Barca!!..yani ama zao!!
Ab Titchaz, weshaanza visingizio hawa,...tafadhali wabadilishie bana kabla hawajasema lingine, ha ha ha!!!!
ebu kuwa na heshima kidogo ebo! Mkishinda kesho come the 12th lazima tuwafunge, mkitolewa kesho mtakuja for blood...hehehe nilimwambia aw huu msimu umekaa kama ule wa 98-99 maana tulikuwatoa liverpool kwenye third round na tukakutana na arsenal kwenye nusu fainali ya FA Cup sema safari hii tunakutana kwenye 1/4 final.forget about tomorrow BJ, tusubirieni Jumamosi FA Cup, 5.15pm (17h15) ndani ya "Old Trash Fort!"
...wiki hii lazima tumtoe roho mzee Alex Fungus!
Ab Tchaz
Shukrani kaka. Usiwasikilize wana-majungu hao.
ebu kuwa na heshima kidogo ebo! Mkishinda kesho come the 12th lazima tuwafunge, mkitolewa kesho mtakuja for blood...hehehe nilimwambia aw huu msimu umekaa kama ule wa 98-99 maana tulikuwatoa liverpool kwenye third round na tukakutana na arsenal kwenye nusu fainali ya FA Cup sema safari hii tunakutana kwenye 1/4 final.
suddenly league imekuwa interesting alafu kuna more twists and turns to come mpaka ifike May baadhi yetu tutakuwa tushakwenda kwa madaktari wa moyo. Mlioko london may 1st nataka kuiangalizia mechi emirates mungu akipenda.ha ha ha!...
...naam, naam...ama zenu ama zetu!...si unajua "ukimuudhi mchinja mbwa wazimu unakurudia?"
mkuu naangalia possibilities za kuanzisha manchester united supporters club of tanzania, kwa afrika nzima naona iko south africa tu.Ab Tchaz
Shukrani kaka. Usiwasikilize wana-majungu hao.
suddenly league imekuwa interesting alafu kuna more twists and turns to come mpaka ifike May baadhi yetu tutakuwa tushakwenda kwa madaktari wa moyo. Mlioko london may 1st nataka kuiangalizia mechi emirates mungu akipenda.
ticket nachukulia man utd, sema ndio hivyo haitanipa flexibility ya kukaa kwingine bali kwenye jukwaa la visiting team's fans.Umeshafanya mpango wa tiketi? Emirates haiingiwi kama Kariakoo?
mkuu naangalia possibilities za kuanzisha manchester united supporters club of tanzania, kwa afrika nzima naona iko south africa tu.
ticket nachukulia man utd, sema ndio hivyo haitanipa flexibility ya kukaa kwingine bali kwenye jukwaa la visiting team's fans.