Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

,,,,Mkubwa eeeh!!!,, hivi ile shoot alopiga VAN PERSIE wakati akiwa offside na baadae akalimwa yellow card,ingawa lilipiga side net HALIHESABIKI????

Ishu ni kuwa arsenal hawakupiga hata shuti moja on goal walipiga shuti moja tu nje ya goli hilo ra RVP


Hilo shuti la Van Pussy halihesabiki kwa sababu mpira tayari ulishasimamishwa kwa kipenga na refa kwa kosa la offside.
 
Tupaki basi tu kieleweke, na tuwastuff kwenye midfield hapo mambo yatakuwa mukide.... Dah nilivyoona lineup nilibaki nashangaa ila SAF kiboko.
 
Kuna mtu ana link ya hii game maana siko jirani na runinga.
 
,,,,Mkubwa eeeh!!!,, hivi ile shoot alopiga VAN PERSIE wakati akiwa offside na baadae akalimwa yellow card,ingawa lilipiga side net HALIHESABIKI????
Ukifungwa goli kwenye dead ball, litahesabika?
 
Duuu mbona wapenzi wa nchester united siwaoni???au ndio kwa vile weekend???maana tupo tu wawili now
 
Duuu mbona wapenzi wa nchester united siwaoni???au ndio kwa vile weekend???maana tupo tu wawili now
Nimeipata link hapa video quality nzuri vile vile. Sema ndio hivyo inabidi nimsikilize Andy Townsend.
 
<p></p>
<p>&nbsp;</p>
Pole kaka, mm ninazo ila ziko kwa PC.
Nishaipata kaka...
Naona Rooney kafanya mambo hapa 2 - 0 sasa kilichobaki tuwastuff in the middle tupoteze wakati.
 
glory.. Glory man u, nadhani ubingwa msimu huu tutakuja kutangazia hapo emirates! Lol halafu si mmemuons valencia karudi? Huyo ndio anajua siri ya magoli ya rooooooooney
 
Hongereni sana......Mlistahili Kushinda.......Na kila la kheri kwenye CL......
 
Hongereni wakuu....japo it was a formality. Arsenal kwa Man U ni kama Mbwa kwa Chatu
 
Back
Top Bottom