Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Apart from madogo vipi kwa aliowanunua ukimtoa Antony japo amestruggle sana, je wamefiti mfumo wake wa uchezeshaji?
 
Mkuu kwanza itabidi tukubaliane kwanza kwamba kwa miaka miwili aliyokaa van gaal man u tunacheza Mpira m-boovu sana bora hata kwa Moyes man ilikua inacheza attacking football kuliko saiz, msimu unaelekea kuisha ila sidhani kama tumefikisha hata goli 50 kwenye ligi.

Licha ya kutumia £250+ mill kwenye usajili bado tunalalamika na injury plus kumtegemea mtoto wa shule rash ford aliyepata nafasi baada ya Rooney kuumia ndio atusaidie, ( zisingekua injuries hawa akina Fosu mensah na akina rashford wasingepata nafasi)

Alafu suala la makocha wa kigeni kuhangaika england sio kweli chief, pellegrin alifika 2013 man city na 2014 kawapa makombe mawili,

Jurgen kloop kaingia katikati ya msimu na hajafanya usajili wowote so far ila kawafikisha liva kwenye final mbili na tukiweka unazi pembeni liva ya sasa sio ile ya Rodgers, wanapiga mwingi mnoo.

Mou kipindi anafika Chelsea kwa Mara ya kwanza 2004, alichukua kombe la ligi baada ya kucheza fainal na livapuli na kuwatandika tatu, akachukua premier league Mara mbili mfululizo, sasa kwanini ugumu wa ligi unatokea kwa van gaal tu? Pia usisahau kuwa hakuna kocha wa kiingereza yeyote aliyewahi kuchukua ligi

Van gaal kwangu Mimi ni big failure na kuendelea kuwa nae ni kututafutia ugonjwa wa moyo mashabiki, no changing in tactics, poor philosophy, boring team, alichobakiza saiz ni kujisifu kuwakuza watoto tu as if we become a selling club lyk ajax, maana upande wa makombe yake 3/4 aliyapata miaka ya tisini.
 
So far LVG amechemsha Manchester United but hakuna guarantee kama Mourinho atafanikiwa akiwa United hasa alivyoharibu Chelsea msimu huu na ili apewe timu Jose inabidi akubali kubadilika sana .Hizo statistics za Madrid kwa wachezaji waliopo Bayern,Barca,Madrid ni rahisi sana kupata mafanikio aliyoyapata umeona Zizou kapewa timu na ndani ya muda mfupi amefikisha timu sehemu nzuri.Hata Pep pamoja na kuchukua Bundesliga misimu 3 lakini wanamponda kuwa amefeli.I think ni wakati bora kumpa timu Giggs hata akipata matokeo kama haya ni afadhali
 
Bora kuwa na giggs ( endapo mou ikishindikana) kuliko kuendelea na van gaal aisee.
 
j
Bora kuwa na giggs ( endapo mou ikishindikana) kuliko kuendelea na van gaal aisee.
LVG ni old model coach ni ngumu sana kufanikiwa EPL ya sasa,kinachompa kiburi zaidi timu alizofundisha huko nyuma alifanya vizuri
 
j

LVG ni old model coach ni ngumu sana kufanikiwa EPL ya sasa,kinachompa kiburi zaidi timu alizofundisha huko nyuma alifanya vizuri
Alifukuzwa Barcelona
Akifukuzwa Bayern

Sehemu pekee ambayo hakufukuzwa ni Netherlands National team kule Brazil!!
 
Mkuu napingana na wewe, kwenye kikosi cha sasa wachezaji wa Babu ni wangapi? hivi umefatilia record ya uyu LVG? mara nyingi msimu wake wa kwanza anachukua kombe kabla ile timu alioikuta haijasambaratika. Mfano mzuri ni Bayern alichukua kombe ila msimu uliofata aliwaacha nafas ya 13 .Sijui unamtetea ili nini wakati watu wanajua uyu mzee ana tactics mbovu za mpira. Bayern kafukuzwa,Barcelona kafukuzwa kutokana na kuharibu timu
 
kwenye ligi tumefunga magol 43 tuko sawa na Norwich anaepambana kushuka daraja
Tumefunga magol 43 na tumefungwa magol 31 ,tofauti ni gol 12 na mpaka sasa amna mchezaji aliefunga gol 10.Hii ni Man U mbovu sana
 

Braza unasahau hizo timu hazijawahi kuwa na kocha aliyekaa kwenye timu kwa miaka 20+ Siyo jambo dogo kwa timu ku-move on baada ya kocha wa namna hiyo kuondoka. Mourinho alivyokuja mwaka 2004 alikuta Ranieri ameshaandaa timu nzuri. Kumbuka aliipeleka Chelsea nusu fainali ya UCL. Hivyo usitake kumpa Mourinho credits zote.

Unaongelea Liverpool kuupiga mwingi, unasahau Liverpool hao hao walikuwa kidogo tu wachukue ubingwa wa EPL msimu mmoja uliopita chini ya Rodgers.

Na unavyosema hakuna kocha wa kiingereza aliyewahi kuchukua ligi unamaanisha nini? Unamaanisha England kama Uingereza ama UK kama Uingereza? Maana SAF na Kenny Daglish wote ni waingereza kwa kuwa Scotland ni a devolved administration iliyo chini ya a sovereign state, UK.
 
Kocha wa kiingereza nilimaanisha uingereza kama england ( Scotland nili ignore maana nako kuna ligi yao )
 
Alifukuzwa Barcelona
Akifukuzwa Bayern

Sehemu pekee ambayo hakufukuzwa ni Netherlands National team kule Brazil!!

Alifukuzwa lakini alifanya vizuri,kumbuka Pelegrini,Anceloti,Mourinho pamoja na kuwa makocha wazuri nao walifukuzwa
 
1 de Gea
25 A Valencia
12 Smalling
5 Rojo
36 Darmian
16 Carrick
35 Lingard
8 Mata
21 Herrera
7 Depay
10 Rooney


Substitutes
11 Januzaj
20 Romero
28 Schneiderlin
33 McNair
43 Borthwick-Jackson
51 Fosu-Mensah
 
timu inavyocheza sizani kama kuna matumaini ya ushindi....ahhh leo LVG ndani ya SUN GOGOS
 
LVG hajaibua vipaji isipokuwa aliowakuta kawapa nafasi na alikuwa hana jinsi maana kikosi cha kwanza wengi walikuwa majeruhi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…