Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

DE GEA NAMED IN PFA TEAM OF THE YEAR
Manchester United goalkeeper David De Gea has been named in the PFA Team of the Year for the third time in his career, capping yet another excellent campaign for the Spaniard.
Every player from the 20 Premier League clubs voted to decide the 2015/16 starting XI and this is the third time De Gea has been involved, having previously made the cut in 2012/13 and 2014/15.
United’s influential no.1 is the only member of Louis van Gaal’s squad to be involved in the team that is dominated by four players each from title rivals Leicester City and Tottenham Hotspur, with the two remaining places going to Arsenal’s Hector Bellerin and West Ham’s Dimitri Payet.
PFA Team of the Year: David De Gea (Manchester United), Hector Bellerin (Arsenal), Wes Morgan (Leicester City), Toby Alderweireld (Tottenham Hotspur), Danny Rose (Tottenham Hotspur), Riyad Mahrez (Leicester City), Dele Alli (Tottenham Hotspur), N’Golo Kante (Leicester City), Dimitri Payet (West Ham United), Harry Kane (Tottenham Hotspur), Jamie Vardy (Leicester City).
As is tradition, the PFA had planned to reveal their many Teams of the Year on Sunday night at its annual awards dinner, but they were forced to release them all on Thursday after the Premier League side was leaked in a photograph on social media. A statement on the organisation's website read:
“The PFA is disappointed that a member of the public has chosen to deliberately leak our representative teams from the official brochure of the Awards Evening.
“As a matter of urgency, we are seeking a detailed explanation from the brochure printers as to how they were able to secure a copy of the publication.
“The unveiling of the PFA representative teams is eagerly awaited by our members and football fans throughout the country and we hope that the unfortunate leak does not affect the wide-ranging debate and discussion which accompanies their normal release on the day of the event.”
Of course, De Gea is among the leading contenders to win the Sir Matt Busby Player of the Year award at United’s upcoming prize night on 2 May. You can cast your vote via ManUtd.com/POTY
1461316292592.jpg
 
alli goli la crystal palace limempaisha hapat namba mbele ya coutinho labda utaifa na kumpa dogo molari
Countinho gani huyu liva? Hahahaaaaa utakua unatania bro, delle alli kawa vizuri toka round ya kwanza ukiongeza na umri wake ndio kimembeba, laiti ozil angeendelea na kiwango alichokua nacho round ya kwanza ningemchukua yeye, ila kwa sasa hyo nafasi nakubaliana nayo kabisa.
 
Countinho gani huyu liva? Hahahaaaaa utakua unatania bro, delle alli kawa vizuri toka round ya kwanza ukiongeza na umri wake ndio kimembeba, laiti ozil angeendelea na kiwango alichokua nacho round ya kwanza ningemchukua yeye, ila kwa sasa hyo nafasi nakubaliana nayo kabisa.

Kishabiki zaidi
 
Countinho gani huyu liva? Hahahaaaaa utakua unatania bro, delle alli kawa vizuri toka round ya kwanza ukiongeza na umri wake ndio kimembeba, laiti ozil angeendelea na kiwango alichokua nacho round ya kwanza ningemchukua yeye, ila kwa sasa hyo nafasi nakubaliana nayo kabisa.



herrera alli hana vigezo vya kumuweka nje ozil ilo lazima ukubali ozil ni falsa za wenger ndo zinazomtesa pia hana ubavu wa kumweka bench coutinho angalia game anazo pafom huyo dogo angalia na hao nnaokwambia....kwa kuweka sawa nnachokwambia yeye na harry kane walifichwa na fosu mensah ndani ya dakika 62 mensah ilikuwa game yake ya 3 epl alishindwa hata kupenyeza pasi ndani ya muda huo....
 
Countinho gani huyu liva? Hahahaaaaa utakua unatania bro, delle alli kawa vizuri toka round ya kwanza ukiongeza na umri wake ndio kimembeba, laiti ozil angeendelea na kiwango alichokua nacho round ya kwanza ningemchukua yeye, ila kwa sasa hyo nafasi nakubaliana nayo kabisa.



pia sikutaka kwenda levo za ozil nilishuka chini tu mi ni manchester united die hard lakin hao nlikuambia wapo vizur sna hakuna timu itapinga kua nao ila alli si mbovu dogo ni mzuri sikatai ila ana mengi ya kujifunza hawez kuwa juu ya ozil na coutinho.

coutinho anatoka brazil anapita inter anatua liver ktk makinda bora wa brazil neymar,oscar na yy huyo coutinho alikuwa wa kwanza kufika europe kwa ubora wake.
 
Wembley, Wembley,
We're the famous Man united and we're going to Wembley,
Wembley, Wembley,
We're the famous Man united and we're going to Wembley
3affeecc6119f6b3ebcc2d7363556b54.jpg
Eeee Mungu sikia maombi yangu naomba Wembley tusitoke patupu,nimelimiss sana hili kombe ,wakati wengine ukiwapatia Ubingwa wa ligi kuu na sisi utupatie Ubingwa wa FA cup,Nashukuru na naamini umesikia ....Ameeeen.....GGMU.
 
pia sikutaka kwenda levo za ozil nilishuka chini tu mi ni manchester united die hard lakin hao nlikuambia wapo vizur sna hakuna timu itapinga kua nao ila alli si mbovu dogo ni mzuri sikatai ila ana mengi ya kujifunza hawez kuwa juu ya ozil na coutinho.

coutinho anatoka brazil anapita inter anatua liver ktk makinda bora wa brazil neymar,oscar na yy huyo coutinho alikuwa wa kwanza kufika europe kwa ubora wake.
f6697f442a34aaea2793a97b6b677cb8.jpg

Wachambuzi wa kibongo mnaniacha hoi
 
pia sikutaka kwenda levo za ozil nilishuka chini tu mi ni manchester united die hard lakin hao nlikuambia wapo vizur sna hakuna timu itapinga kua nao ila alli si mbovu dogo ni mzuri sikatai ila ana mengi ya kujifunza hawez kuwa juu ya ozil na coutinho.

coutinho anatoka brazil anapita inter anatua liver ktk makinda bora wa brazil neymar,oscar na yy huyo coutinho alikuwa wa kwanza kufika europe kwa ubora wake.
Chief hii ni PFA player of the year, wanachaguliwa wale wachezaji waliofanya vizuri kwa mwaka husika, sasa unapozungumzia habari za countinho akiwa inter au ozil wa msimu uliopita au wa Madrid kidgo inanichanganya,

Ozil ni mzuri ndio sikatai lakini je toka hii round ya pili ilivoanza kafanya nini cha maana? Delle alli katika umri wa miaka 19/20 anagoli 10 za ligi katika mechi 32 kitu ambacho ni zaidi hata ya lampard ( akiwa kwenye umri wa miaka 19).

Sina maana kwamba alli kafikia level za ozil ila kwa huu msimu delle Alli alikua vizuri pia anamwendelezo wa matokeo chanya ( consistent) kulko ozil, achilia mbali countinho
 
Chief hii ni PFA player of the year, wanachaguliwa wale wachezaji waliofanya vizuri kwa mwaka husika, sasa unapozungumzia habari za countinho akiwa inter au ozil wa msimu uliopita au wa Madrid kidgo inanichanganya,

Ozil ni mzuri ndio sikatai lakini je toka hii round ya pili ilivoanza kafanya nini cha maana? Delle alli katika umri wa miaka 19/20 anagoli 10 za ligi katika mechi 32 kitu ambacho ni zaidi hata ya lampard ( akiwa kwenye umri wa miaka 19).

Sina maana kwamba alli kafikia level za ozil ila kwa huu msimu delle Alli alikua vizuri pia anamwendelezo wa matokeo chanya ( consistent) kulko ozil, achilia mbali countinho


Alli hakustaili kuwepo hapo kaanza hapo sio pake ndo mana nkakwambia labda utaifa ukizungumzia msimu mzima bas ozil hakos na mr liverpool alli bado sana
 
Alli hakustaili kuwepo hapo kaanza hapo sio pake ndo mana nkakwambia labda utaifa ukizungumzia msimu mzima bas ozil hakos na mr liverpool alli bado sana
Alli amekuwa na performance consistency msimu mzima kuliko Ozil/Coutinho kwa umri wake na msaada aliotoa kwa Spurs anastahili kuwepo kwenye hiyo team.PFA wanaopiga kura ni wachezaji wenyewe,wangekuwa waandishi wa habari ungesema hizo jabari za utaifa
 
Alli amekuwa na performance consistency msimu mzima kuliko Ozil/Coutinho kwa umri wake na msaada aliotoa kwa Spurs anastahili kuwepo kwenye hiyo team.PFA wanaopiga kura ni wachezaji wenyewe,wangekuwa waandishi wa habari ungesema hizo jabari za utaifa

Chief hii ni PFA player of the year, wanachaguliwa wale wachezaji waliofanya vizuri kwa mwaka husika, sasa unapozungumzia habari za countinho akiwa inter au ozil wa msimu uliopita au wa Madrid kidgo inanichanganya,

Ozil ni mzuri ndio sikatai lakini je toka hii round ya pili ilivoanza kafanya nini cha maana? Delle alli katika umri wa miaka 19/20 anagoli 10 za ligi katika mechi 32 kitu ambacho ni zaidi hata ya lampard ( akiwa kwenye umri wa miaka 19).

Sina maana kwamba alli kafikia level za ozil ila kwa huu msimu delle Alli alikua vizuri pia anamwendelezo wa matokeo chanya ( consistent) kulko ozil, achilia mbali countinho


Poa pamoja wakuu
 
Back
Top Bottom