Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

1461185725496.jpg
 
mi nataka van gal aendelee moja ya sababu kubwa ni vijana wa manchester united under 21 na walio na miaka 23 kushuka chini wakina perreira ,januzaj, timbo fosuh mensah , cameroon, varela, wilson, love na dogo mwenye roho mbaya kabisa

PAD MACNAIRE sipendi kuwakosa hawa na bado wengine wengi wapo kule under 21 hii ni kazi ya nick butt straika ambaye akikufunga goli hazirud hata umchezeshe kun aguero yeye akitupia moja tu ndo ntolee huyu ni RASHID bila ubishi hii ndo man mpya na ndio academy bora kwa sasa akija kocha mwingine watoto wote watasepa hawa.


wakuu hebu jazieni vijana wetu hawa tuwajue
 
Hata sisi bado tuna mechi ngumu aisee west ham na leceister zote ugenini siyo mchezo.



hizo mechi tunapiga mi nakwambia sisi mashabik wa man tunaichukulia poa sna timu yetu leceister city wanajua kabisa kuondoka na point 3 old trafod ni ngumu tayar wakina shaw watakuwa washarud west ham sina waswas nae akijitahid suluhu akizembea anapigwa tena
 
mi nataka van gal aendelee moja ya sababu kubwa ni vijana wa manchester united under 21 na walio na miaka 23 kushuka chini wakina perreira ,januzaj, timbo fosuh mensah , cameroon, varela, wilson, love na dogo mwenye roho mbaya kabisa

PAD MACNAIRE sipendi kuwakosa hawa na bado wengine wengi wapo kule under 21 hii ni kazi ya nick butt straika ambaye akikufunga goli hazirud hata umchezeshe kun aguero yeye akitupia moja tu ndo ntolee huyu ni RASHID bila ubishi hii ndo man mpya na ndio academy bora kwa sasa akija kocha mwingine watoto wote watasepa hawa.


wakuu hebu jazieni vijana wetu hawa tuwajue
Mi nacheki sana game za under 21 ...kuna majembe hatari
 
Mi nacheki sana game za under 21 ...kuna majembe hatari


hasa kwenye hao madogo wa under 21 huku kuna mkubwa wao martial, luke shaw ,morgan,smalling na blind japo simuamini sana huyu ni mzur akicheza namba 3 ni balaa man ijayo ni ya hatar sana
 
mi nataka van gal aendelee moja ya sababu kubwa ni vijana wa manchester united under 21 na walio na miaka 23 kushuka chini wakina perreira ,januzaj, timbo fosuh mensah , cameroon, varela, wilson, love na dogo mwenye roho mbaya kabisa

PAD MACNAIRE sipendi kuwakosa hawa na bado wengine wengi wapo kule under 21 hii ni kazi ya nick butt straika ambaye akikufunga goli hazirud hata umchezeshe kun aguero yeye akitupia moja tu ndo ntolee huyu ni RASHID bila ubishi hii ndo man mpya na ndio academy bora kwa sasa akija kocha mwingine watoto wote watasepa hawa.


wakuu hebu jazieni vijana wetu hawa tuwajue
Kuna dogo anaitwa Keith Groeneveld ni full back toka ubeligiji miaka 16 yupo anafanya majaribio, kama atapita ataanzia U18 then atakua promoted kulingana na kiwango chake.

Ila hapo kwamba hao madogo ni kazi ya nicky butt kiaje chief sijakusoma fresh?
 
Kuna dogo anaitwa Keith Groeneveld ni full back toka ubeligiji miaka 16 yupo anafanya majaribio, kama atapita ataanzia U18 then atakua promoted kulingana na kiwango chake.

Ila hapo kwamba hao madogo ni kazi ya nicky butt kiaje chief sijakusoma fresh?



kabla hajawa chief academy alikuwa kocha wao....
 
Back
Top Bottom