Ed n Edd nEddy
JF-Expert Member
- May 3, 2011
- 5,345
- 6,078
Nimekatazwa kushinda kwa watu siji tenaHahaha wewe umezidizi kushinda kwetu toka asubuhi mpaka night kali
Nimekatazwa kushinda kwa watu siji tenaHahaha wewe umezidizi kushinda kwetu toka asubuhi mpaka night kali
Nishamfukuza alijidai kuja leo asubuhiHahaha Th Name nomaaa!!! Utafukuzwa siku ingine.
Wakati mpaka sasa hivi upo kwetu mbona hujaenda kwenuNimekatazwa kushinda kwa watu siji tena
Nishamfukuza alijidai kuja leo asubuhi
Huyo hata kwa Rashford anasubiri sembuse martial?Origi vs Martial?
Kazi sana kuchagua hapo maana mmoja ni wa kimataifa mmoja ni local
Unataka tuongee kwa Stats au tuanze kupiga porojo?Huyo hata kwa Rashford anasubiri sembuse martial?
HahhaaaaWakati mpaka sasa hivi upo kwetu mbona hujaenda kwenu
Hahhahahhaha mimi Majogoo bado siyaogopi!!! Tukutane next season......yaani nimekuachia Europa ole wako usichukue !!!
Origi vs rashford that's all about. Utachukuaje comparison ya magoli kwa wachezaji wanaocheza nafasi tofauti? Martial anacheza pembeni na origi 9, chakujiuliza msimu mzima huu origi alikua wapi hadi anaonekana saizi? Kwenye chumba cha upasuaji alikua akumuuguza sturidge?Huyo hata kwa Rashford anasubiri sembuse martial?
Hawa hata wasikupasue kichwa waache wafurahie ushindi wao wa jana.Origi vs rashford that's all about. Utachukuaje comparison ya magoli kwa wachezaji wanaocheza nafasi tofauti? Martial anacheza pembeni na origi 9, chakujiuliza msimu mzima huu origi alikua wapi hadi anaonekana saizi? Kwenye chumba cha upasuaji alikua akumuuguza sturidge?
Game ya Jana ilikua poa sana kwao aisee ( to be honest) ila nashangaa hadi wanaanza Ku compare aliekua mchezaji Bomu wa msimu pindi yupo lille kwenye ligi ya kipuuzi na the winner of golden boy award for the best U-21 player all over the Europe 2015.Hawa hata wasikupasue kichwa waache wafurahie ushindi wao wa jana.
Hawajiamini !!!! Mi Mwenyewe nashangaa wengine wakaacha kufurahia ushindi wao wanajilinganisha na Man U.....Game ya Jana ilikua poa sana kwao aisee ( to be honest) ila nashangaa hadi wanaanza Ku compare aliekua mchezaji Bomu wa msimu pindi yupo lille kwenye ligi ya kipuuzi na the winner of golden boy award for the best U-21 player all over the Europe 2015.
Hiyo ndio furaha yao kubwa just to be compared to utd, Shannon adder alishasema "You will face your greatest opposition when you are closest to your biggest miracle."Hawajiamini !!!! Mi Mwenyewe nashangaa wengine wakaacha kufurahia ushindi wao wanajilinganisha na Man U.....
Kwetu pazuri sanaHahhaaaa
You nail it thanks a lot.Origi vs rashford that's all about. Utachukuaje comparison ya magoli kwa wachezaji wanaocheza nafasi tofauti? Martial anacheza pembeni na origi 9, chakujiuliza msimu mzima huu origi alikua wapi hadi anaonekana saizi? Kwenye chumba cha upasuaji alikua akumuuguza sturidge?