Liva MNABAHATI refa kamaliza mpira mapema. Zingerudi zoote.
Poleni sana, mnaye huyu kwa week mbili tatu zijazo.
"Mateso kwa zamu!"
Jamni hivi goli zote hizo tumepigwa kweli au ndio mambo ya marefa kuichukia man u?...ila mwaka huu ubingwa wetu tuu
Jamni hivi goli zote hizo tumepigwa kweli au ndio mambo ya marefa kuichukia man u?...ila mwaka huu ubingwa wetu tuu
Piiiiii pii piiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii:rain:
Ndo tunatangaza ratiba ya msiba,kwamba maturubahi na vifaa vya matanga vitachukuliwa rasmi J4..........kwahiyo tutaomboleza hadi J3.
Mkuu Bundi bado anastarehe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Poleni wafiwa matanga yapo hapo old trafford khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
waungwana we lost fairly and squarely... Simply we didnt show up at the park kama wacha1 anavyosemaga 'bad day at the office'... Well done liverpool mmetumia chances mlizozipata, mara ya mwisho tumepigwa back to back ilikuwa misimu miwili iliyopita.
Haya sasa nimekubali tumechapwa flat and square,liverpool ilikua better team than us.Vijana wa emirates asanteni kwa ushirikiano tutaonana J4 tusikimbiane jamani......tafadhali.
Ndo tunatangaza ratiba ya msiba,kwamba maturubahi na vifaa vya matanga vitachukuliwa rasmi J4..........kwahiyo tutaomboleza hadi J3.
Kabisa huyu Oshea huwa anacheza vizuri ile namba so sijui kwa nini walimuweka bench
Mkuu ndio mkuu tumefungwa lakini pale ilibidi huyu dogo chicharito wamweke toka mwanzo.....maana anaweza mechi kama hizi
Aya, Wacha boy, Mbu, Questt, Bb Ataka kusema, Rev. et al, asanteni kwa kampani, mm natafuta chobi nikajifiche, manake kuanzia hm, kitaa hado ofcn najua nawindwa apa..
Soka bana! apa ndop napopliona'ga' chungu.
F8ck off!
Aya, Wacha boy, Mbu, Questt, Bb Ataka kusema, Rev. et al, asanteni kwa kampani, mm natafuta chobi nikajifiche, manake kuanzia hm, kitaa hado ofcn najua nawindwa apa..
Soka bana! apa ndop napopliona'ga' chungu.
F8ck off!