Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

12524112_581436972011922_5321066807852392257_n.jpg
 
Tangu mwanzo nimekuwa mpinzani mkubwa wa ujio wa Mourihno kwasababu kuu mbili.

1. Mourihno hana historia ya ku promote wachezaji wa team B mara zote amekuwa ni bingwa wa kununua established players na si kukuza vipaji vya chipukizi.

2. Mfumo wa Mourihno ni kulinda kwanza na si kushambuli hii ni kinyume na utaratibu wa Man Utd soka la kushambulia na kufurahisha washabiki.

Bado napinga ujio wa Mourihno Man Utd kwakuwa ataharibu mipango na mikakati anayotengenza Van Gaal ya muda mrefu.
 
Tangu mwanzo nimekuwa mpinzani mkubwa wa ujio wa Mourihno kwasababu kuu mbili.

1. Mourihno hana historia ya ku promote wachezaji wa team B mara zote amekuwa ni bingwa wa kununua established players na si kukuza vipaji vya chipukizi.

2. Mfumo wa Mourihno ni kulinda kwanza na si kushambuli hii ni kinyume na utaratibu wa Man Utd soka la kushambulia na kufurahisha washabiki.

Bado napinga ujio wa Mourihno Man Utd kwakuwa ataharibu mipango na mikakati anayotengenza Van Gaal ya muda mrefu.
Nakubaliana na wewe kupinga ujio wa Mourinho pale United lakini napenda LVG aondolewe.
#LVG_OUT
 
Hatareeee nunua na karata kabisa. Lazma tukesh pale wafiwa sio wa kuachwa peke yao
Ila sijui nina roho mbaya!yaani ni bora Leicester City wachukue kombe kuliko hawa tulio wafunga jana jamani niombeeni.Nilikwenda kuwafariji kama binadamu tu.
 
Back
Top Bottom