Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Imetengenezwa baada ya game ya juzi, kama ilivokua kwa McNair baada ya game ya kwanza ndio ikatengenezwa,

Hata ukiangalia reference zake zote ni Feb 25/26 2016, isipokua moja tu ya Feb 22 ya soccer base.
Ni sawa kabsa herera upo sahihi
 
whoscored-arsenal-manchester-united-man-utd_3421605.jpg
 
Haaa haaa P Cech ni mzuri kuliko De Gea ?
Kwa mujibu wa stats za msimu huu "YES"

ana 12 clean sheets, ameokoa michomo mingi zaidi ya De gea

kifupi so far mpaka sasa hakuna kipa kwa mujibu wa takwimu ame perfome kamam Cech
 
Mechi ya kesho napata wasiawasi na back 4 kama bado tutakuwa na majeruhi wengi sijui kama tutashinda.
 
Nawasikitikia man u kwa msimu huu watamaliza chini ya westham, soton, na Everton. Sijaonani kwa namna gani mnaweza kuwa juu ya hizo timu. Angalia fixtures zenu zilizobakia
2cad00430c71c8161648c29326e488b0.jpg


Hapo game rahisi ni dhidi ya westbromwich Albion. Hizo nyingine jasho litawatoka. Bye bye UCL bye bye Europa league.
 
Nawasikitikia man u kwa msimu huu watamaliza chini ya westham, soton, na Everton. Sijaonani kwa namna gani mnaweza kuwa juu ya hizo timu. Angalia fixtures zenu zilizobakia
2cad00430c71c8161648c29326e488b0.jpg


Hapo game rahisi ni dhidi ya westbromwich Albion. Hizo nyingine jasho litawatoka. Bye bye UCL bye bye Europa league.
Timu kubwa huongelewa na kila mtu duniani...
 
I really hope that LVG will keep playing Carrick in the central defense for the rest of the season. We have been lacking a ball playing central defender who can help team attacking from behind, Carrick can give us that. With him as a central defender, our chance for champions league qualification is guaranteed. Smalling belong to the bench.
 
Back
Top Bottom