Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Me najuliza hiyo top four tutafika kweli?

Labda miujiza itendeke mkuu, ila chini ya huyu mzee sidhani.

Yani mkuu angalia, tumecheza mechi 11 tumeshinda 2, halafu ushindi wenyew n wa shida(1 goal difference) na wa wale watt wa daraja la chini huko tumeshinda kwa penalty!

Kwa hali hii tunapata wapi ujasiri wa kudhani tutamaliza big four. Sidhani.
 
Lvg ana bahati na man u waache mfumo Wa kulindana inauma mpk imefikia mahali huoni umuhim Wa mechi bora ulale tu
 
Labda miujiza itendeke mkuu, ila chini ya huyu mzee sidhani.

Yani mkuu angalia, tumecheza mechi 11 tumeshinda 2, halafu ushindi wenyew n wa shida(1 goal difference) na wa wale watt wa daraja la chini huko tumeshinda kwa penalty!

Kwa hali hii tunapata wapi ujasiri wa kudhani tutamaliza big four. Sidhani.
Haya ni worse results aisee mechi 11 tumeshinda mbili tena kwa tabu sana. Tuna mlima mkubwa wa kupanda
 
Lvg ana bahati na man u waache mfumo Wa kulindana inauma mpk imefikia mahali huoni umuhim Wa mechi bora ulale tu
Kabisa mkuu, yani me nakumbuka niliwahi kwenda kuangalia UEFA saa 4 usiku na kesho yake nina mtihani wa form 4(NECTA) saa 2 asubuhi, ila kwa sahizi sioni umuhimu wa kuiangalia hata km kesho yake sina kazi ya kufanya.

Yan saiz ina-bore tu hii timu.
 
Haya ni worse results aisee mechi 11 tumeshinda mbili tena kwa tabu sana. Tuna mlima mkubwa wa kupanda

Sana mkuu, labda abadilike, ila kwa hii tabia yake ya kuwahamisha hamisha namba wachezaj na kuwafix kune nafasi zao cjui km tutafika.
 
[QUOTE="dwoxye, post: 15083304, member: 28745njmeana mkuu, yani me nakumbuka niliwahi kwenda kuangalia UEFA saa 4 usiku na kesho yake nina mtihani wa form 4(NECTA) saa 2 asubuhi, ila kwa sahizi sioni umuhimu wa kuiangalia hata km kesho yake sina kazi ya kufanya.

Yan saiz ina-bore tu hii timu.[/QUOTE]
Sijaona moral ya man utd ikishuka to kea 96 ninemeanza kuwaangalia lkn sasa ni too much team imekuwa kama timu zetu za bongo hakuna raha hkna futball hakuna hamasa lvg mbwa sana
 
Mkuu BAFA acha tu, tusikilizie maboss watachukua uamuz gan, km wanapenda kuona tukikasirika, kuona mashabiki wanawahi kutoka uwanjani, wanapenda kuona wadhamini wakisema hawafurahishwi na timu inavocheza!

Tusubiri tuone.
 
Inahitaji moyo wa mwendawazimu kuangalia mechiza Man U.
Kwa falsafa ya soka timu inayoanza kufunga mabao inarelax na kucheza soka la kuangalia wapinzani wao wanakujaje ili walinde magoli yao na kuongeza mengine timu pinzani inapopanda bila mpango kusawazisha. Lakini kwa Man U hii hata ikitangulia kufunga bao tano zinaweza kusawazishwa na hata kuongezwa la sita. Huwa najiuliza kwa timu za wenzetu pale top 4 ikutangulie bao mbili mpaka HT utarudisha kweli!
 
3018D26F00000578-3396245-image-a-8_1452638657883.jpg


Was this a handball really!?????
 
Back
Top Bottom