Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

_87675450_herowijnaldum-pa.jpg


Pamoja na kubebwa na mbeleko, mtajuta!
 
Hapa ndipo LVG anakuwa kichaa...utamtoaje Herrera na kumwacha Fellaini mwenye kadi ya njano! Na Herrera amedictate game vizuri sana leo.
 
Great goal. Naona Rooney siku hizi anaweka sign so called "free-mason/Illuminati" kila anapofunga goli.
 
Doh! Kwa mara ya kwanza namwona LVG kwenye touchline naona anahitaji sana ushindi hapa. Pengine ni mwanzo wa kubadili misimamo yake ya ajabu
 
Doh! Kwa mara ya kwanza namwona LVG kwenye touchline naona anahitaji sana ushindi hapa. Pengine ni mwanzo wa kubadili misimamo yake ya ajabu
Sifwatilii gemu, vipi leo kasimama??? au kakaa akiandika kama kawaida yake??
 
Siyo uongo aisee Rooney kaanza mwaka 2016 vizuri...leo kacheza kama Rooney...lakini pia kwa sababu yupo dynamic sana leo...siyo kubanwa katika position yake
 
Back
Top Bottom