Mimi naona leo ni kama vile LvG amerudia tabia yake ya kuwafunga wachezaji kwenye positions zao! Maana naona movements za Martial ni kama vile kaambiwa asitoke kwenye left wing....ama ni macho yangu tu?
Mimi naona leo ni kama vile LvG amerudia tabia yake ya kuwafunga wachezaji kwenye positions zao! Maana naona movements za Martial ni kama vile kaambiwa asitoke kwenye left wing....ama ni macho yangu tu?